Pengo: Nimesamehe

Kauli yake ya kisaliti ndiyo mwanza wa mengine.
Mbona yeye hajaomba msamaha kwa kauli yake ambaye imehatarisha uthabiti wa TEC na kanisa kwa ujumla na pia kudharirisha wenzake.

Mkuu mbona unaongea mawazo?
 

Mkuu bado na wewe unaongea mawazo, umeona kuna mahakama ya kadhi kwenye katiba pendekezwa? Acha uvivu wa kusoma soma ile katiba then jaribu tena kuandika labda utaeleweka
 

Hili ni anguko la kanisa!!!! Yaani ile dhambi ya kuwabagua waislamu na kuwaonea wivu wasipate matokeo yake wakristu wameanza kutukanana wao kwa wao. Poleni sana jamani. Dhambi ya ubaguzi ndio hii. Sasa mkristu mwenzenu (Pengo) ameiona haki mnamporomoshea matusi. Haya bwana. Sisi yetu macho.
 
Hivi yeye mwenyewe ametumia fursa hiyo kujiombea msamaha! Maana alienenda kinyume na kile alichoshiriki na kusaini.
Je ni kweli alilalamika kama taarifa ilivyotolewa kabla ya Gwaj kukamatwa na sasa anaumwa sijui nini? Na kama alilalamika ni kipi kilikuwa cha msingi kwake kukana alichokubaliana na maaskofu wenzake au kukumbushwa kuwa umekana.
 
Hii dhambi haitamuacha pengo na unafiki wake

We nawe hujielewi kama hujui kaa kimya mwenzako kapiga kelele madhabahuni hatimae yule pale sasa wewe ropoka ropoka tuu
 

Inaonekana wewe ulikuwa unafaulu kwa kuangalizia. Usitake uandikiwe kila kitu, a new argument makes a wise man think a little bigger. Acha kufuata upepo man, may be hata unachokisimamia hujakisoma au kukisikiliza mwenyewe but you base on the hearsay, nakubali kuwa mie ni poor but I keep on learning, but you are the poorest man stuck in the ditch, ndio maana huelewi chochote....
 

Wewe ndo hujui kitu kuhusiana na mfumo wa uongozi ndani ya Kanisa Katoliki. Mtu kuwa Kadinali haina maana ndiye kiongozi wa Kanisa Nchini mwake. Kuna Nchi hazi Kadinali na bado Kanisa Katoliki lipo katika Nchi hizo. Kwa sasa Afrika nzima kuna Makadinali wasiozidi 20 ilihali kuna Nchi zaidi ya 50 katika Afrika. Kadinali Pengo ni Kiongozi Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam pekee! Unaweza kuwa Kadinali hata kama wewe sio Askofu wala Padri! Soma Sheria za Kanisa Katoliki na taratibu zake. Usiwe Zero kiasi hicho!
 
Pengo nimemdharau sana. kuomba kwake msamaha hakuwezi kusaidia kutibu tatizo la presha alilomsababishia mtumishi wa Mungu, Gwajima. yeye aendelee tu kuitumikia serikali ya CCM halafu mwisho wa siku atavuna alichopanda.

Gwajima kajatakia mwenyewe pressure kwa Kweli ..hayo mambo ya Serikali ni Juu Yao ...na mwenyewe aliogopa nini ...anajua
 
Mnafiki huyo, unasamehe vipi baada ya kuona mhusika yupo mikononi mwa polisi na kuhojiwa masuala yasiyohusiana na alichosema juu yake?! Alitakiwa kusamehe hadharani mara tu baada ya Gwajima kutukana, na kumwachia Kaisari aendelee na taratibe zake!!
Hebu tujiulize taratibu. Pengo na Gwajima, nani alimtaja mwenzake kwa majina? Kama jibu umelipata, nani amesababisha matatizo kama si aliyetaja jina la mwenzake?

Nasisitiza, Pengo hakuwahi kutaja jina la Gwajima. Ni gwajima ndiye aliyemtaja Pengo kwa majina kabisa. Pengo hajamshtaki Gwajima polisi, ni Jamhuri tu imeona kuna ujumbe wa matusi unasambazwa kwenye mitandao, na ili kupata ukweli ndipo polisi ikamuita kumuhoji. Pengo hajawahi kwenda kushtaki polisi
 
wauwajiii hawa stype zao wanajua walichotakakumfanyia gwajima
ikifika kiongozi wadini unakuwa mafia ni zaidiuashetwanii kabisaa
mfikishieni huu ujumbe piaa
 


hata kama. alikuwa amekaa wapi aache sheria itendee HAKI hiyo ni criminal case na siyo civil case
 

Udogo wa Gwajima na ukuu wa Pengo tusiupime kwa vigezo na sifa zetu za kidunia za kupeana. Tusubiri siku tukisimama mbele ya kiti kikubwa cheupe, wakati bahari na milima vitakapokuwa vinakimbia uwepo wake. Hapo wafalme wa dunia watakapokuwa wanaomba milima iwafunike. Ndipo Mwenyewe atakapodhihrisha kati ya Gwajima na Pengo nani mkubwa!! Na siku hizi haziko mbali.
 
asante Pengo kwani msamaha ndio kitu cha muhimu kwakuwa wewe ndie unaetuelimisha maana ya kusamehe hivyo umeelimisha kwa vitendo.MUNGU AKULINDE
 
kituko cha tajiri na maaskini
 

hIZO SHERIA KWA NINI HAZIKUFANYWA WAKATI WA:
1.Eliakim maswi kumutukana kafulila kuwa ni mshenzi
2.Werema kumutukana kafulila kuwa ni tumbili
 

Acha kumuhusisha Yesu na upuuzi wenu kilaza wewe.
 

Bahati yake kikwete siku hiyo itamkuta hayuko madarakani,patakuwa hapatoshi hapa duniani siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…