kweli elly nasaport eti wengine wanavaa hata usiku wakati wa kulala ... For what? Kuchezea tu rasilimali...uvaaji wa vyupi ni anasa kwanza haina kazi yoyote mwilini
boxer zinawabana lakini .... Kile kitu huwa kinapumua kweli?naked no smile
natumia boxer bana
na naheshimu sana usafi wake sio kuvaa mara mbili bila kufuliwa
Chupi huwa tunaidharau lakini ina mdomo mkali
Chupi chafu na inayotoa kharufu mvaaji naye ni mchafu
Chupi yenye mikato ya kike nayo huongea kwa kike-kike
Chupi hiyo huitwa "brief" na mvaaji ana taswira ya kike
Pengine hujui lakini chupi humsema mwanaumme pia!
Chupi kama kaptura hii yaitwa "Boxer" for real men.
Chupi hiyo huficha mapaja kuashiria si lolote lile.
Chupi ya "Brief" hutukuza mapaja na haimfai dume.
Chupi ya "Boxer" kauli yake ni kuwa mvaaji ni kidume.
Pengine hujui lakini chupi humsema mwanaumme pia!
Kama chupi havai basi naye huyo ni kioja kitupu!
Kama chupi havai suruali kwake ndiyo chupi yake!
Kama chupi havai suruali yake sasa ndiyo jamvi!
Kama chupi havai suruali yake sasa ndiyo taulo!
Pengine hujui lakini chupi humsema mwanaumme pia!
"Boxer" ni funga kazi na mwanaumme apaswa kujivunia.
"Boxer" imeshinda hata wadada waionapo wamkubali mvaaji.
"Boxer" hujivunia mwandani wa mvaaji na hata kumzawadia.
"Boxer" ni ghali dukani lakini jipinde uinunue na kuimiliki.
Pengine hujui lakini chupi humsema mwanaumme mvaaji pia!
kweli elly nasaport eti wengine wanavaa hata usiku wakati wa kulala ... For what? Kuchezea tu rasilimali...
boxer zinawabana lakini .... Kile kitu huwa kinapumua kweli?
Kweli dunia darasa... nimepata somo hapa, ngoja niaachane na haya mambo ya kizungu nikatafute na mimi likaputura niache mjomba ajimwayemwaye LOLDuh... Hii imeniepuka, maana mie navaa Likaputula badala ya chupi................
Kwani mlikuwa hamjui kwamba chupi husababisha maumbile kuwa KIBAMIA, nani anataka kero hiyo..... Mie najivalia Likaputula langu ili maumbile yangu yajimwae-mwae kwa ustawi wa kukua kwa unene na kimo...................LOL
clean hard colored Boxers are a huge turn on to some of us.....anayevaa boxers ni real man
boxer zinawabana lakini .... Kile kitu huwa kinapumua kweli?
sure, mie chupi na boxer nimeacha tangu 2006.Dah!!! Rutashubanyuma hili kwa kweli mimi nimeliepuka kabisa, mimi huwa navaa pensi nyanya..
clean hard colored Boxers are a huge turn on to some of us.....anayevaa boxers ni real man
mimi sivai kabisa cause hata sijui faida ya chupi ... navaa tu siku za hatari...Dah!!! Rutashubanyuma hili kwa kweli mimi nimeliepuka kabisa, mimi huwa navaa pensi nyanya..
[MENTION]