Pendekezo: SLAA APEWE UKUU WA WILAYA?

Pendekezo: SLAA APEWE UKUU WA WILAYA?

DANCING.jpg

hiyo picha ni nani kama JK vile????????????? anacheza KIDUGU AU???? aje aokoke - acheze pambio kumsifu Mungu - better than KIDUGU or VIDUGU?????????????? whatever!!!
 
Ili kutibu majeraha ya Dr Slaa na wanachadema napendekeza DR Kikwete kumpa Ukuu wa wilaya Dr Slaa

Wewe unapendekeza apewe cheo gani?

Mimi napendekeza wewe ndiyo upewe Ukuu wa Mkoa kwa debe unalompigia JK. Dr. Slaa hana majeraha wala hajaanguka jukwaani kama JK au umesahau? Dr. haishi kwa kubahatisha wala kumtegemea mtu ndiyo maana ni Dr.
 
Nafasi ya ukuu wa wilaya inakufaa wewe usiyekuwa na fikra kwani hiyo nafasi haina umuhimu wa kuwepo ndo maana wanaowekwa hata wengine hawajamaliza kidato cha 4....... ni maawara wa viongozi
 
Jeykeywaukweli...hata jina lako linaonyesha una akili vizuri...kumbe hata jf kuna watu wanaongeaga pumba kama wewe?...
 
Ili kutibu majeraha ya Dr Slaa na wanachadema napendekeza DR Kikwete kumpa Ukuu wa wilaya Dr Slaa

Wewe unapendekeza apewe cheo gani?

Kwakuwa Bungeni Kaachia, na Ikulu Hajaingia, huku Umri ukizidi Kumtohoa na Mchumba hajamuoa, Basi bora angemalizana na Mume wa Mchumbake, Aoe Kwanza!
 
haya yanaweza kutolewa na mtz anayefaidi kwa mafisadi tu na asiye mzalendo.................mtz kabisa mwenye uchungu na nchi yake hawezi kuandika upuuzi km huu dhidi ya dr.slaa..........kwa udhaifu wa kiafya na kiuongozi wa hali ya juu wa kikwete nadhani ingefaa hata apewe seriksali ya mtaa kuondoza mabalozi wa nyumba kumi kwani hana fikra mbadala zaidi ya fikra za kulinyonya taifa yeye na rafiki zake rostamu na lowasa kupitia dowans,kagoda..................
HIVI WANOIPENDA CCM,CUF NA KIKWETE NI WATZ KWELI?
 
Mimi napendekeza wewe ndiyo upewe Ukuu wa Mkoa kwa debe unalompigia JK. Dr. Slaa hana majeraha wala hajaanguka jukwaani kama JK au umesahau? Dr. haishi kwa kubahatisha wala kumtegemea mtu ndiyo maana ni Dr.

Dr Slaa hajaanguka Jukwaani lakini alianguka Chooni akavunjika Mkono, Umesahau? Usibeze mtu kwa Matatizo yanayoweza Kumpata yeyote, hata Wewe Pia!
 
Ndugu yangu, kwa sasa Dr. anashughulikia masuala muhimu kama vile Katiba. Kama uelewi Dr. Slaa ni nani waulize Tume ya Uchaguzi.
 
Hivi huyu raisi wako vipi wakuuu wamikoa!!?? Haujapewa!
 
Back
Top Bottom