PONJO MULA
Member
- Dec 4, 2010
- 7
- 0
Uwezo wa Dr. Slaa upo juu sana, ingekuwa enzi za ukoloni wangemfanya kama Mkwawa. Baada ya kufa wangechunguza fuvu lake kuona kama ni mtu wa kawaida au la! Anadeserve kuwa presida na sio vinginevyo.
Ili kutibu majeraha ya Dr Slaa na wanachadema napendekeza DR Kikwete kumpa Ukuu wa wilaya Dr Slaa
Wewe unapendekeza apewe cheo gani?
Ili kutibu majeraha ya Dr Slaa na wanachadema napendekeza DR Kikwete kumpa Ukuu wa wilaya Dr Slaa
Wewe unapendekeza apewe cheo gani?