Acheni mambo yenu bwana
Hatuwezi kuendesha nchi wala vyama kwa misingi ya ajabu namna hii.
na wote ni mashahidi kwamba katika nchi yetu maamuzi yote ambayo
hufanyika kwa misingi hii hayajawahi kuwa na faida kwa upande wowote
ule, hayajawahi kuwa na faida kwa vyama husika vya siasa wala kwa wananchi.
Swala la kumshinikiza Lipumba kugombea halina uhusiano wowote na Chadema
kutogombea, Nchi hii haitoongozwa na vyama vya siasa Imara bali itaongozwa na
Chama cha Siasa Imara. Acheni wote watatu wapambane, CUF, CCM na CHADEMA.
Kama Lipumba hakuona umuhimu wa kumuachia DR amuondoe Jakaya Ikulu kirahisi
hakuna sababu yoyote ya CHADEMA kumuachia Lipumba wala CUF kupata ushindi
bwerere katika nafasi yoyote ya uongozi.
Sitaki kusikia Siasa za Hovyo Hovyo namna hii, tena nimechukizwa sana kuona
kwamba bado kuna watu wanaujasiri wa kutoa hoja za namna hii, nimeichukia
hoja hii sana na nimemchukia mtoa hoja pia.
Wote ni Mashahidi kwamba, kabla, na baada ya Uchaguzi CUF na Lipumba in
person, wametumia nguvu kubwa sana katika kuhakikisha inakichafua CHADEMA
kwa kila namna.
Baada ya Uchaguzi, Wakati Chadema wanaandamana kupiginia mambo ya msingi
kwa watanzania, CUF na Lipumba walianza kuzunguka kote wanakojua wanasikilizika
na kutangaza kwamba Chadema ni Chama cha Udini.
Achana na Patrinership yao na CCM Zanzibar, sababu sijawahi kuona ubaya wake,
as long as Wazinzabar waliona unawafaa wao kama jamii, CUF waliendeleza informal
partinership na CCM Bungeni, ili kufisha vyote viwili, nguvu ya Upinzani Bungeni na
Nguvu ya Chadema pia.
Waoh, where do you get the guts to recommend Chadema not to go for
Igunda for the sake of CUF. come on.
Let them all go for it. Igunda will decide for their own interests.