Acha gutter politics za CCMShibuda ana ushahidi wa mazungumzo ya CDM na Rostam kuhusu kukabidhiana hilo jimbo, hapo Zitto anasafisha njia ya kwa Shibuda kuibomoa CDM kesho.
Acha gutter politics za CCMShibuda ana ushahidi wa mazungumzo ya CDM na Rostam kuhusu kukabidhiana hilo jimbo, hapo Zitto anasafisha njia ya kwa Shibuda kuibomoa CDM kesho.
Suala la Lipumba kuwa mzaliwa wa Tabora halimaanishi kuwa CUF ina nguvu mkoani tabora kuliko Chadema. Angalia matokeo ya uchaguzi uliopita katika Majimbo ya Nzega na Igunga kisha useme ni nani alikuwa na nguvu.CDM ilimshinikiza DK Slaa kuwa mgombea urais japo mwenyewe alikuwa hataki. Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
- Ni mzaliwa wa Tabora
- Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
- Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
- CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.
Kwa hiyo lini unataka CDM ianze kuwa na nguvu Tabora kama si sasa.
Hapo umenena ukweli mtupu. CUF haikubaliki Igunga ukilinganisha na CHADEMANakubaliana na wewe lakini hapo kwenye red umechemka, CUF ina nguvu zaidi Tabora mjini
na vijijini lakini nje ya hapo (Nzega, Igunga, Urambo, BUkene) hakuna kitu
Tupe data kuwa Lipumba anakubalika nyumbani kwake, aligombea lini na niniMkuu,
Lipumba ni mtu anayekubalika Tabora ni kwao, pia ni msomi aliyebobea katika uchumi. Historia inaoonyesha hii nchi ikiwa na upinzani imara serikali inanyooka na kuwa na serikali imara ni pamoja na kuwa na bunge imara. Lipumba ni valuable asset kwasababu mosi ya usomi wake pili experience yake na tatu kukosekana kwa mtu makini anayefahamu masuala ya policy making nchini.
Lipumba kama ataachana na fikra za urais anaweza kwenda kugombea Igunga akaliimarisha bunge kuikosoa serikali inayotuingiza katika mkenge kila siku kwenye mikataba mibovu, sera mbovu na uwajibikaji mbovu. Pia kutachangia kuwepo kwa umoja kwa wapinzani baada ya tofauti zao tangu kumalizika kwa uchaguzi wa 2010. CCM ni nyumba inayotaka kuvunjika au tembo anayetaka kuanguka bila ya upinzani imara CCM inaweza kurudi tena ulingoni na kuwa imara zaidi. Sasa hivi ndio wakati muafaka ya kuimalizia mbali CCM mwaka 2015 kiwe chama cha upinzani. Chadema, CUF, NCCR wakitoana ngeu CCM ndio itapata nguvu ya kuwamaliza kwa kudai wapinzani hawafai kupewa nchi ni watu wa fujo.
WildCard kwa hiyo umekubaliana na taratibu za kujiuzulu kwa Rostam au hadi arudishe kadi.Rostam ana mtu wake pale. Alitupatia Rais wa NCHI hawezi kushindwa kutupatia mbunge pale Igunga.
Acha gutter politics za CCM
CDM ilimshinikiza DK Slaa kuwa mgombea urais japo mwenyewe alikuwa hataki. Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
- Ni mzaliwa wa Tabora
- Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
- Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
- CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.
CDM ilimshinikiza DK Slaa kuwa mgombea urais japo mwenyewe alikuwa hataki. Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
- Ni mzaliwa wa Tabora
- Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
- Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
- CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.