Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

WildCard kwa hiyo umekubaliana na taratibu za kujiuzulu kwa Rostam au hadi arudishe kadi.
Hadi pale atakaporudisha kadi. Lakini si unaifahamu nchi hii? Mambo mengi ni kanyaga twende.
 
hili wazo hata mimi nililipata jana lkn nilisita kulipost baada ya kumemorise ziara na kauli za lipumba against cdm baada ya uchaguzi mkuu 2010
 
Wakuu tukiacha itikadi, CUF wana nguvu Igunga Kuliko CDM

Matokeo ya Mwaka Jana

Igunga

Msimamizi wa jimbo hilo Protas Magayane alimtangaza Rostam Aziz wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 35,674 dhidi ya mpinzani wake, Leopord Lucas Mahma wa CUF ambaye amepata kura 11,321. kwa maana hiyo CDM walikwa wa 3
 
Liumba hana experience na Bunge! Sion kama ataongeza nguvu yoyote. Naona Nape ndiye anayefaa. Kwanza ni kijana machachari na siyo muoga!
 
Nimeona Zitto ameandika kwenye twitter ameandika cdm wanajiandaa kuchukua jimbo la Igunga, nadhani mikakati itakayowekwa na cdm lazima kieleweke. Lipumba hatumuhitaji

Jimbo la Igunga halitaenda upinzani si kwa sababu kuwa hawatashinda, la watachaguliwa ila hawatapewa ushindi kwa sababu zifuatazo
  1. Under the current system ya kuwa na tume ya uchaguzi ile ile inayoongozwa na watu walewale wa chama kilekile kilichochakachua uchaguzi wa 2010 ili kubakia madarakani, basi hakuna litakalobadilika.
  2. Dhana ya kuvua gamba iliyowaweka akina Nape na Mukama madarakani na kusababisha jimbo la Igunga kuwa wazi kwa siasa zao za majungu na fitina, itakuwa vichwani mwa hawa makada, watakachotaka kukionesha ni kuwa dhana yao imefanya kazi na wananchi wamerudisha imani kwenye chama, hivyo basi hawatakuwa tayari kuwatangaza wapinzani wameshinda jimbo hata kwa risasi, na watakuwa tayari kwa lolote ili kuonesha kuwa sasa wanaungwa mkono.
  3. Watataka kumuonesha RA kuwa wananchi huwa hawachagua mtu ndani ya CCM bali ni chama na hivyo kutokuwepo jina lake katika balot si kigezo cha wao kupoteza jimbo. Hivyo basi nguvu yote ya chama na serikali itahamia Igunga kama walivyofanya Busanda 2009.
  4. Watakuwa tayari kutumia pesa nyingi zaidi ya walizotumia sawa na kutafuta kila wabunge 20 wa CCM katika uchaguzi wa 2010. Na hili litawafanya kuona kuwa kupoteza jimbo ni sawa na kutupa pesa hizo kwenye tanuri la moto mkali, hivyo kwa CCM jimbo la Igunga ni Ushindi ni lazima,
  5. UCHAGUZI WA IGUNGA NI NEW TEST KWA UONGOZI ULIOVISHWA GAMBA JIPYA WA CCM JAPO CONTENTS NI ZILEZILE, ITAKUWA NI TEST KUELEKEA UCHAGUZI WAO WA 2012 NA HIVYO KUPOTEZA JIMBO SI TU ITAKUWA NI KUMPOTEZEA MGOMBEA WA CCM ATAKAYESIMAMISHWA ULAJI WA MIAKA MINNE KWA KUZOMEA BUNGENI NA KUOMBA MIONGOZO YA SPIKA BALI UTAKUWA NI UCHAGUZI UTAKAO WAONDOA VIONGOZI MAGAMBA MAPYA KATIKA NAFASI ZAO 2012, KWANI WATAONEKANA KUWA HAWANA MAGAMBA MAGUMU YA KUHIMILI VISHINDO VYA 2012.
 
Upinzani unatakiwa wakae wajipange waweke mgombea mmoja, kama kila chama kitaweka mgombea wake basi jimbo litabaki Magamba
 
Lipumba kwa kiswahili cha watoto ni pumba kubwa sana.....akae hukohuko CCM+CUF=Muafaka
 
Wakuu tukiacha itikadi, CUF wana nguvu Igunga Kuliko CDM

Matokeo ya Mwaka Jana

Igunga

Msimamizi wa jimbo hilo Protas Magayane alimtangaza Rostam Aziz wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 35,674 dhidi ya mpinzani wake, Leopord Lucas Mahma wa CUF ambaye amepata kura 11,321. kwa maana hiyo CDM walikwa wa 3

CUF wameharibu sana baada ya uchaguzi mkuu na ndoa zao kwenye viti vya umeya, bungeni so hali ya sasa ni tofauti kbs now we have two histories "CUF BEFORE AND AFTER 2010 GENERAL ELECTION"
 
CUF wameharibu sana baada ya uchaguzi mkuu na ndoa zao kwenye viti vya umeya, bungeni so hali ya sasa ni tofauti kbs now we have two histories "CUF BEFORE AND AFTER 2010 GENERAL ELECTION"

Lets wait

Ila CDM mwaka jana waligalagazwa na CUF Igunga...Thats a Fact
 
Wakuu tukiacha itikadi, CUF wana nguvu Igunga Kuliko CDM

Matokeo ya Mwaka Jana

Igunga

Msimamizi wa jimbo hilo Protas Magayane alimtangaza Rostam Aziz wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 35,674 dhidi ya mpinzani wake, Leopord Lucas Mahma wa CUF ambaye amepata kura 11,321. kwa maana hiyo CDM walikwa wa 3

inawezekana kuna kauchakachuaji ndani yake, lakini mkuu mbona CDM walienda na gari lao la twanga kotekote na kuuteka kabisa mji wa igunga? huoni watu wale wamebadilika au waweza kubadilika?
 
Mkuu,

Tukiweka mbali ushabiki wa Chama tunahitaji mtu kama Lipumba bungeni. Hali ya uchumi wa nchi unaenda kombo na walioko bungeni sio wajuzi wa uchumi waliobobea Lipumba anaweza kuongeza nguvu bungeni kuzidi kuikosoa serikali iliyo madarakani.

Tunahitaji watu wenye nia dhabiti kulinda maslahi ya hii nchi na sio watu wenye roho ya kwanini na wasiojua wanachosimamia! Huyo Lipumba hata kama ni Mchumi basi angalijua faida za kushirikiana kama principles za uchumi zinavyosema na si kuwa opportunitist, ni kazi bure yeye kuwepo Bungeni kama alishindwa kukishauri chama chake kuonyesha diplomasia tukianzia na pale Marehemu Wangwe alipofariki na uchaguzi kuitishwa Tarime (ikumbukwe Prof. Mapumba huyu alikuja na kashfa nzito za kusema Malya amefunzwa ujasusi Libya na Chadema kuja kumuua Wangwe)

Pili hata juzi baada ya CHADEMA kuwa chama kikubwa cha upinzani, walifanya nini katika chaguzi za Speaker (though nakubali kuwa Marando haikuwa rahisi kushinda) ila vitu kama roho safi (diplomasia na ushirikiano) ni muhimu!

Ikumbukwe CHADEMA wameiunga CUF mara mbili katika chaguzi za Urais na Ubunge hata ikiwemo chaguzi za 2010 pale ambapo CHADEMA hawakuweka mtu waliweka wazi kuunga kwao mkono Upinzani!
 
Wasi wasi wangu hatashinda halafu hadhi yake na chama itaporomoka sana kama Mbatia.
 
Wakuu tukiacha itikadi, CUF wana nguvu Igunga Kuliko CDM

Matokeo ya Mwaka Jana

Igunga

Msimamizi wa jimbo hilo Protas Magayane alimtangaza Rostam Aziz wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge baada ya kupata kura 35,674 dhidi ya mpinzani wake, Leopord Lucas Mahma wa CUF ambaye amepata kura 11,321. kwa maana hiyo CDM walikwa wa 3

Mchunga Nchi(Rev),
Upepo umeshabadilika sana toka ile Oktoba 2010......CHADEMA imejiimarisha sana baada ya uchaguzi......na ukumbuke kuwa katika hizo 35,674 za Rostam watakuwemo maruhani waliokasirishwa na Rostam kujiuzulu
 
Back
Top Bottom