Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Mnakuwa wa mwisho kila siku ndiyo mje muongoze taasisi nyeti vile? Msitutawale. Anzisheni ZECTA yenu mtuachie yetu. Mmeamza kutubagua kwenye ardhi inatosha. Ila mkiwa Bara ruksa kumiliki ardhi.Tunamweka mzanzibar sasa zamu yetu