S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Tukishindwa yote nadhani ipo haja ya kucheza sinema kama ile ya Idd Amin ama Darwin's Nightmare labda ndio dunia itaweza kutusikia. Mkimtaka mtu anayefanana na Mkapa kama pacha wake yupo tayari na namjua vizuri. hapo labda Mkapa ataweka madai yake mahakamani kupinga shutuma hizo na kisheria ( za kimataifa) atakuwa kavua hiyo immunity yake. Ni lazima yeye aonyeshe kuwa habari hizo ni za Uongo!.
No jamani huu ubabe umefika mbali sana tena kwa kuulizia tu yule mwandishi wa habari na Mlinzi walikuwa wamesongwa na sol la Darwin's nightmare.. nini hatima yao?... nachofahamu mimi kwa uhakika ni kwamba yule mhindi mwenye kiwanda cha samaki ndio kesha kuwa mufilisi baada ya kufungiwa. Kosa lake ni kukubali kuhojiwa ktk sinema ambayo pamoja na kwamba ilikuwa na ukweli.. serikali haikutaka utoke nje!..Yametokea wakati wa Mkapa na JK alikuwa mbele kufunika kombe!.. yote haya tunayasahau hata kama yaliwekwa ktk picha ya documentary!
Kizuri kilichotokana na sinema hiyo ni kwamba hakuna tena mapanki kama chakula cha wananchi wa Mwanza.
Sasa hivi mapanki yanatengeneza chakula cha kuku.
Kuact movie kama ya darwins nightmare, mnadhani kutasaidia chochote ? kuna watu wapo mbele kwa kuzima moto cheche kabla hazijawa skendo kubwa, mfano mzuri ni hiyo dokyumentari ya darwin ilikuja kwa kishindo, then what was next ? samahani to be the bearer of the bad news, tanzania sasa hivi huwezi kufanya movie yoyote bila kupewa ruhusa/kibali then ikakubaliwa na serikali which was a mandate done after the documentary of darwin nightmare was introduced, sasa mnadhani mnaweza kitu hapo ???????????????
Tukishindwa yote nadhani ipo haja ya kucheza sinema kama ile ya Idd Amin ama Darwin's Nightmare labda ndio dunia itaweza kutusikia. Mkimtaka mtu anayefanana na Mkapa kama pacha wake yupo tayari na namjua vizuri. hapo labda Mkapa ataweka madai yake mahakamani kupinga shutuma hizo na kisheria ( za kimataifa) atakuwa kavua hiyo immunity yake. Ni lazima yeye aonyeshe kuwa habari hizo ni za Uongo!.
No jamani huu ubabe umefika mbali sana tena kwa kuulizia tu yule mwandishi wa habari na Mlinzi walikuwa wamesongwa na sol la Darwin's nightmare.. nini hatima yao?... nachofahamu mimi kwa uhakika ni kwamba yule mhindi mwenye kiwanda cha samaki ndio kesha kuwa mufilisi baada ya kufungiwa. Kosa lake ni kukubali kuhojiwa ktk sinema ambayo pamoja na kwamba ilikuwa na ukweli.. serikali haikutaka utoke nje!..Yametokea wakati wa Mkapa na JK alikuwa mbele kufunika kombe!.. yote haya tunayasahau hata kama yaliwekwa ktk picha ya documentary!
Kizuri kilichotokana na sinema hiyo ni kwamba hakuna tena mapanki kama chakula cha wananchi wa Mwanza.
Sasa hivi mapanki yanatengeneza chakula cha kuku.