Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Eeeewa. Asante sana.
 
Easy brother; mbona wanaupdate to taarifa za mfumo na makazi ya mkoa wako ulipo/ asilia unakoishi. Huhitaji mambo mengi. Kuhusu kukujua tutaweka Barrier Check Point kila Mkoa wanascan Plate Number inasoma Full Details kukuhusu. Maisha yanaendelea
Huoni kwamba utaongeza urasimu na kucheleweshw kwa safari
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
mwanza dar utalipa kodi ngapi?
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Vipi kuhusu mabasi .?
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
We ndugu una ufala sana🚮😁
 
Habari TRA !

Naomba kuuliza hii kodi eti inafaa hapa nchini?

"MOTOR VEHICLE CROSS REGION TAX"

Karibu.
Una habari kuwa kuna kodi mpya imependekezwa na huu mswada mpya wa fedha kwenye vyombo vya moto tayari kulingana na ukubwa wa engine!

Hata haijaanza rasmi na unapendekeza Kodi nyingine kwa mmiliki wa hicho chombo Cha moto Tena!
 
Najua. Huo ushuru wa 200 mpaka 500 najua kwa stand.

Mimi nilichoshauri hapa watozwe ndio kwa kuvuka Mkoa asilia. Ipo maana ndani yake. Mfano; Usalama, Afya, kudumu kwa miundombinu, kuboresha huduma za maendeleo nk
kodi inatozwa kwenye faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…