Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
yaani sisi tunasubilia tarehe ifike wangesema iwe hata kesho tungekuwa barabarani tupambane na hao wanaohisi nchi hii ni yao
 
yaani sisi tunasubilia tarehe ifike wangesema iwe hata kesho tungekuwa barabarani tupambane na hao wanaohisi nchi hii ni yao
Mnaonaje safari hii mkitumia reli kufanikisha hayo matembez maana barabara na ss tumechoka mnatuchoma moto bila hatia
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Kwenye red, nataka kumwona Mama Regina Lowassa na wanawe, kama yule mkewe Dr Slaa enzi hizo mstari wa mbele!!
 
Hivi wale wanaopata matatizo ktk harakati za chama huwa wanasaidiwa na chama
 
Ni lini kwenye maandamano yoyote yale viongoz wa juu hawakushiriki?
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Mimi nitakuwa mstari wa mbele ila familia yangu hapana!Sina imani na jeshi la polisi
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

Mimi ni kiongozi wa CCM ngazi ya balozi wa nyumba kumi nitakuwepo katika maandamano ya kudai demokrasia.
 
Kwenye red, nataka kumwona Mama Regina Lowassa na wanawe, kama yule mkewe Dr Slaa enzi hizo mstari wa mbele!!
Wewe nani mpaka utake?Halafu,Baba akiwa Ccm inamaana na watoto lazima wawe ccm?
 
Mimi nitaandamana hapahapa JF...nitakuwa naumwa bandama. Pia familia yangu haipo imesafiri itarudi Disemba mosi, 2016.
 
Hivi wale wanaopata matatizo ktk harakati za chama huwa wanasaidiwa na chama
Hivi wale wote waliopata matatizo wakati wa kudai uhuru toka kwa mkoloni walisaidiwa na serikali?
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
ACT mmetangaza mkutano wenu ndiyo unataka Zitto na mke wake wahudhurie??
 
siasa ni imani kama imani zingine sasa haina maana baba akiwa ccm na watoto wawe ccm inategemeana na uelewa Wa MTU....


mfano Mimi peke yangu siwezi kuwa mwanachama Wa ccm hata kama ukoo wangu wote mzima wakiwa ccm.....
Unamaanisha bora kuwa kwa washika ukuta???
 
Back
Top Bottom