Kibstec 09
Member
- Aug 8, 2016
- 27
- 22
Kwa wale wananchi wote wanaokubalia na wanachosema hawa viongozi wa CHADEMA juu ya raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ya kuwa yeye ni DIKTETA na mpaka kufikia wao wanaitisha maandano nchi nzima ya siyo kuwa na ukomo....Sasa mimi nawaomba wale wote wanakubaliana na KINA MBOWE juu ya hili wawaombe hao viongozi wa chadema WAZIHUSISHE FAMILIA ZAO hapa nina maana ya kwamba wawahusishe wake zao au vijana wao tunawaowatambua na wao pia wawe mstari wa mbele kwenye haya maandamano....KWELI WA MUNGU iwapo wakifanya hivyo mimi mwenye na tuliowengi tutaamini WANADHAMIRA YA KWELI KWENYE HILI na wala hawatumiki NA WATU WENYE NIA OVU NA NCHI YETU....kwanini ninasema hivi..ninasema hivi nikiwa na maana ya kwamba HAWA viongozi wa CHADEMA wamekuwa ni watu waanafiki sana KWANI WANAYOYATAMKA AYAENDANI NA MATENDO YAO...rejea jinsi walivyokuwa wakiwachafua wa kina EDO na SUMAYE kipindi kile wapo CCM na LEO HII JINSI WANAVYOWATUKUZA....pia turejee juu ya mATAMKO YA VIJANA WAO BAVICHA lakini linapokuja swala la MATENDO INAKUWA NI ZERO........wananchi wenzangu na VIJANA WENZANGU HII CHADEMA YA SASA NA UPINZANI WA SASA SI WA KWELI NA UNA NIA OVU NA NCHI HIII.....