Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Chadema wamesema watafanya mikutano. Sasa kwenye majukwaa ya mikutano unategemea wakinanani watakuwa wakiingoza iyo mikutano?
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Chadema tuliwatuma mabadiliko ,wametuletea maandamano
 
Umoja unahitaji kutekeleza hilo lakini mi nailaumu serikali kwa sababu imekuwa bubu badala kukaa mezani na kuyamaliza lakini ndo kwanza wanatoa vitisho..

Ngoja tusubiri ila naamini hawataathirika wanachama, mashabiki wala wapenzi wa vyama pinzani bali ni wananchi wote....magufuli take care ICC is on you.
 
ImageUploadedByJamiiForums1470808747.145454.jpg
 
1978 to 1979 many died and severely injured during the Kagera war but at the end Tanzania deliberated the Kagera river northern part of land and the all nation we became winners!!!!!!!!!! To include our HEROS the top war commandants / war planners who were behind to insure the victory is inevitable / achieved.
Make references to other countries which were liberated at the sacrifice of field combatants.
Andika kwa Kiswahili tu. Achana na Kiingereza uchwara.
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
hoja na ki long sana hiyo eti viongozi watangulie. Wewe subiri hiyo tar 1 ndio utaona kama watakuwa mbele, katikati ama nyuma, mche he wa nini wakati daktari anamimina dawa kwenye bomba la sindano!!!
 
Huna lolote wewe mwana ACT umetumwa kuchafua hewa.
Atakayeenda kwenye maandamano sababu kamuona Lowassa/Mbowe akiandamana atakuwa hajielewi anaandamana kwanini.

Binafsi sitoandamana sababu nimewaona viongozi nao wakiandamana,nitaandamana sababu nataka uhuru wa kidemokrasia.
Period
 
Huna lolote wewe mwana ACT umetumwa kuchafua hewa.
Atakayeenda kwenye maandamano sababu kamuona Lowassa/Mbowe akiandamana atakuwa hajielewi anaandamana kwanini.

Binafsi sitoandamana sababu nimewaona viongozi nao wakiandamana,nitaandamana sababu nataka uhuru wa kidemokrasia.
Period
Sawa mwana Lowassa
 
Pendekr
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

Pendekezo ni zuri pia baba jesca nae awe mbele na familia take yote. Police wawe nyuma
 
Sisi tunaandamana kwa kuandika barua/ waraka ikulu, jambo ambalo Lema ameliafiki.
Sasa kumbe nyie mnaandamana kwa kuandika barua ikulu ,kumbe lengo ni lile lile ila njia ndio tofauti shida yako ni nini ??
 
Sasa kumbe nyie mnaandamana kwa kuandika barua ikulu ,kumbe lengo ni lile lile ila njia ndio tofauti shida yako ni nini ??
Shida yangu ni kuwa mara nyingi kwenye maandamano wanaoumia ni masikini, wao hawana pesa za matibabu.

Ni bora kutumia njia ambazo zitaepusha umwagaji wa damu, CDM ni chama kubwa halina haja ya kutumia mbinu ile ile iliyowaleta juu.

Tuendelee kupaza sauti zetu bila kuchoka kudai demokrasia.....nadhani umeona yaliyotokea Ethiopia
 
Shida yangu ni kuwa mara nyingi kwenye maandamano wanaoumia ni masikini, wao hawana pesa za matibabu.

Ni bora kutumia njia ambazo zitaepusha umwagaji wa damu, CDM ni chama kubwa halina haja ya kutumia mbinu ile ile iliyowaleta juu.

Tuendelee kupaza sauti zetu bila kuchoka kudai demokrasia.....nadhani umeona yaliyotokea Ethiopia
Mkuu yaliyotokea Ethiopia wale ni watu kama sisi sio maroboti hivyo kwa hoja yako hiyo sisi sio malaika ,wanaoumia ni maskini kweli ,ila naomba nikuulize wizi kama wa Escorow au kupotea kwa sukari wanao umia ni matajiri ???
 
Mimi ni mwanachadema wa damu kabisa na ni Kamanda kwelikweli, ninaunga mkonyo hizi harakati zinazoendelea kwa Asilimia 100, harakati za kuhakikisha 'madikteta' wanakimbia nchi. Kiukweli kabisa kutoka moyoni naitamani hii oparesheni ianze hata leo kwa condition moja tu, hawa Makamanda Wakuu wawe mstari wa mbele kabisa kuongoza maandamano halafu mimi nitawasindikiza kwa nyuma;

1. Kamanda Mbowe
2. Kamanda Lowassa
3. Kamanda Tundu Lissu
4. Kamanda Kubenea
5. Kamanda Mashinji
6. Kamanda Sugu
8. Kamanda Lema
9. Kamanda Mnyika
10. Kamanda Msigwa

Na Makamanda wakuu wengine, bila hao kuwa mstari wa mbele kiukweli kabisa kutoka moyoni sitashiriki Oparesheni UKUTA. Makamanda hoyeeeeeeeeeee...........!!!!!!!
 
Ukamanda wako wa kupigania haki kwenye taifa hili hautegemei uwepo wa watu wengine kwenye vita hivyo.......mzalendo yeyote yule anayeguswa na mbinyo wa demokrasia na uhuru wa kujieleza kwenye taifa anaweza akashiriki kwenye harakati hizi........

Kama harakati zako zinategemea uwepo wa watu kana kwamba wewe huguswi na kile kinachopiganiwa....basi wewe haufai kuwemo kundi la wanaharakati kwani haupo mbali na unafiki......na unafiki hauachani na usaliti.........

Hata hayo mataifa ya mfano yaliyopiga hatua kisiasa na kiuchumi na kiutamaduni ni kutokana na harakati za raia kukemea mambo ambayao hayakuwa sahihi kwenye taifa lao na viongozi wakajisahihisha........

MABADILIKO YANAANZA NA WEWE.....!!!
 
Ukamanda wako wa kupigania haki kwenye taifa hili hautegemei uwepo wa watu wengine kwenye vita hivyo.......mzalendo yeyote yule anayeguswa na mbinyo wa demokrasia na uhuru wa kujieleza kwenye taifa anaweza akashiriki kwenye harakati hizi........

Kama harakati zako zinategemea uwepo wa watu kana kwamba wewe huguswi na kile kinachopiganiwa....basi wewe haufai kuwemo kundi la wanaharakati kwani haupo mbali na unafiki......na unafiki hauachani na usaliti.........

Hata hayo mataifa ya mfano yaliyopiga hatua kisiasa na kiuchumi na kiutamaduni ni kutokana na harakati za raia kukemea mambo ambayao hayakuwa sahihi kwenye taifa lao na viongozi wakajisahihisha........

MABADILIKO YANAANZA NA WEWE.....!!!
Umesema vema kabisa...
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
maandamano ya tarehe moja alazimishi mtu, yeyote anaejisikia kupinga uvujwaji wa katiba atajitokeza kwa hiyari yake,huo ndio msimamo wa chadema kama wewe unaona mambo yako yako sawa usishiriki wale wanaotaka watashiriki tena kwa Amani,kama wewe unajisikia kushiriki shiriki kama mke wako haoni sababu ya kushiriki usimlazimishe, haya ndio maneno ya chadema. sasa hapo ubaya wa chadema huko wapi?
 
Back
Top Bottom