Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.
I stand to be corrected........
The enemy is always confronted by courageous file and ranks solders and top Generals remain behind planning and managing confrontations!!!!!!! Many die in the process of winning the war. that is how it is in winning war battles.
