Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

The enemy is always confronted by courageous file and ranks solders and top Generals remain behind planning and managing confrontations!!!!!!! Many die in the process of winning the war. that is how it is in winning war battles.
 
The enemy is always confronted by courageous file and ranks solders and top Generals remain behind planning and managing confrontations!!!!!!! Many die in the process of winning the war. that is how it is in winning war battles.
Ndo hivo mnavyopanga Sept 1 wengine wakapigwe virungu huku nyie mnaangalia TV?
 
Vita ndivyo inavyopiganwa, hamna namna nyingine. Kuna war planners and combatants.
Ha ha ha ....combatants (wapigwa virungu) jiandaeni wakati war planners wanakula AC na kuwaangalia kwenye TV.
Msiwe na wasi manake hawa war planners watatoa MATAMKO makali sana baada nyie kula virungu hadi maumivu yenu yote yayeyuke.
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Mkuu hivi wewe ukiwa ACT ni lazima mkeo na wanao nao wawe itikadi yako? Sii wanaweza kuwa TLP?
Hiyo dhana ya kuwaambia watu eti waje na familia zao ni mufilisi.
Mie nitakuwepo lakini mke wangu ni mfuasi wa ccm na hata kwenda huko haniungi mkono na hatuna shida na hilo. Usiige kila kinachosemwa na wapambe wa ccm. Ila kwa taarifa yako wapo wanachama wengi tuu wa ccm wanaunga mkono UKUTA japo kwa siri, tena ni viongozi
 
Ha ha ha ....combatants (wapigwa virungu) jiandaeni wakati war planners wanakula AC na kuwaangalia kwenye TV.
Msiwe na wasi manake hawa war planners watatoa MATAMKO makali sana baada nyie kula virungu hadi maumivu yenu yote yayeyuke.

1978 to 1979 many died and severely injured during the Kagera war but at the end Tanzania deliberated the Kagera river northern part of land and the all nation we became winners!!!!!!!!!! To include our HEROS the top war commandants / war planners who were behind to insure the victory is inevitable / achieved.
Make references to other countries which were liberated at the sacrifice of field combatants.
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

Kwenye vita vya Uganda Nyerere alikaa mstari wa mbele?
 
Prof. Mbele ameuliza akiwa Marekani kwamba "Magufuli amepata wapi mamlaka ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa?" Cha kushangaza hakuna aliyejibu swali hilo hadi dakika hii.
 
Kuna siku maandamano yametokea bila viongoz kuongoza Maandamano?
 
Kwani ukiwa kiongozi wa chama fulani ni lazima familia yako nayo iwe chama hicho hicho?
 
Hawa jamaa mafanikio yao na familia zao ni mpaka wewe ufe,upate kilema.
Ndo wanakaa meza kuu kufanya majadiliano.

So nchi hii ukiandamana , ukifanya mikutano wanakuua??
Daa si salama kuishi
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Wewe huhusiki haikuhusu
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........
Uo ushaur wako siusuport kabisa. Kuna watu muhimu kama Tunduliso hwatakiwi kuwepo kabisa kwenye maandamano.
 
Hata askar wa kibongo makamanda wao hawaweki ninawaona wapo nyuma kwenye matukio kama haya.
 
Back
Top Bottom