Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,546
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao.

Hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected...
 
Unataka uwe corrected wapi wakati umetoa maoni yako??

Ambaye atakuja na maoni tofauti sawa.
 
Watatangulia mbele, acha woga mkuu mcubic
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

Nonsense, you are corrected
 
Huta waona front hata siku moja" They want us to bleed for them"
 
Clinton mbowe anatakiwa awe mbelee hapo hata mim ntajitoa mhangaa kwenda kweny andamano...ila kama bado yupo marekan kwakweli sijaribu
 
Kuwa viongozi wote wa ngazi za juu washiriki kikamilifu wao na familia zao katika kutekelekeza maazimio ya kikao....hii itatutia moyo sisi wanachama, wapenzi na washabiki kuhudhuria kwa wingi kutekeleza maazimio hayo makuu yenye takwa la kuleta tija na uimairishaji wa demokrasia nchini.

I stand to be corrected........

kwani kutakuwa na maandamano ya kitu gani??

hivi kama demokrasia imebinywa unawezaje kuwa na mpango wa maandamano??

au kuna demokrasia nyingine inayozungumziwa hapa??

anyway haaya.. ngoja tuendelee kusubiri maigizo..
maana naona kama vile naangalia watoto show ITV
 
Ukipigwa bomu wewe familia inalia huku msiba,wao wanakaa vikao wanagawana sitting allowance
 
Ni mgawanyo wa majukumu,viongozi wanatoa matamko hotelini halafu wafuasi mnakuwa mstari wa mbele kutekeleza matamko.

Hakuna dhambi mbaya kama uoga wewe jitokeze tu wala usijali.

Kamanda gani wewe?
 
Back
Top Bottom