Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

Status
Not open for further replies.

Sideeq

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
2,422
Reaction score
435
Baada ya kunukuliwa akisema kuwa kama angekuwa na uwezo wa kuvikokota visiwa vinavyoishi binadamu wanaounda nchi inayoitwa Tanzania ni kuwa tayari Nyerere alishajivua dhamana ya uongozi wa baadhi ya Watanzania.

Dhihaka, kejeli na utusi dhidi ya Watanzania wanaofuata imani ya Kiislamu katika hotuba yake ya mwisho pale aliposema kuwa amefanikiwa kuondoa upogo wa kielimu kati ya Waislamu na Wakristo.

Kuwaweka mbele Wanaijeria Wakristo wa Biafra kuliko Watanzania "waliomchagua" kwa kutumia rasilimali na damu ya Taifa kuhakikisha kuwa Wakristo wa Biafra wanajitenga.

Hivi vyote vinamfanya Nyerere aondolewe jina la Baba wa Taifa.
*Mod tafadhali usiufute huu uzi kwa sababu ni pendekezo hivyo liko wazi kwa mjadala.
 
Baada ya kunukuliwa akisema kuwa kama angekuwa na uwezo wa kuvikokota visiwa vinavyoishi binadamu wanaounda nchi inayoitwa Tanzania ni kuwa tayari Nyerere alishajivua dhamana ya uongozi wa baadhi ya Watanzania.

Dhihaka, kejeli na utusi dhidi ya Watanzania wanaofuata imani ya Kiislamu katika hotuba yake ya mwisho pale aliposema kuwa amefanikiwa kuondoa upogo wa kielimu kati ya Waislamu na Wakristo.

Kuwaweka mbele Wanaijeria Wakristo wa Biafra kuliko Watanzania "waliomchagua" kwa kutumia rasilimali na damu ya Taifa kuhakikisha kuwa Wakristo wa Biafra wanajitenga.

Hivi vyote vinamfanya Nyerere aondolewe jina la Baba wa Taifa.
*Mod tafadhali usiufute huu uzi kwa sababu ni pendekezo hivyo liko wazi kwa mjadala.
Hakuna mjadala kwenye mada ya kipuuzi kama hii!
Hivi hamuoni pertinent matters zinazohitaji attention, hadi muanze umbeaumbea, fitna, udini na chokochoko za kipuuzi?
Kama huna kazi katazame zumari la MAPINDUZI huko kwenu Mwanakwerekwe!
 
Hakuna mjadala kwenye mada ya kipuuzi kama hii!
Hivi hamuoni pertinent matters zinazohitaji attention, hadi muanze umbeaumbea, fitna, udini na chokochoko za kipuuzi?
Kama huna kazi katazame zumari la Muungano huko kwenu Mwanakwerekwe!
na wewe ndo umpe tusi kubwa namna hii mwenzio? uso kama umekunywa maji ya ndimu za matejoo.
 
kwa wewe usipomuita baba wa taifa nani atakushtaki?
Mimi simuiti baba wa Taifa lakini wengine wanamuita baba wa Taifa huoni kuwa hili linaligawa Taifa?
Huoni kuwa njia bora ya kuunusuru "umoja" wa kitaifa ni kulifuta jina la baba wa Taifa?
 
Mimi simuiti baba wa Taifa lakini wengine wanamuita baba wa Taifa huoni kuwa hili linaligawa Taifa?
Huoni kuwa njia bora ya kuunusuru "umoja" wa kitaifa ni kulifuta jina la baba wa Taifa?
umeulizwa, unataka umuite nani baba wa taifa wee kiazi?
 
Mimi simuiti baba wa Taifa lakini wengine wanamuita baba wa Taifa huoni kuwa hili linaligawa Taifa?
Huoni kuwa njia bora ya kuunusuru "umoja" wa kitaifa ni kulifuta jina la baba wa Taifa?
Yaani kutomuita kwako tu kutagawa Taifa?...Taifa gani hilo la vibogoyo?
 
Mimi simuiti baba wa Taifa lakini wengine wanamuita baba wa Taifa huoni kuwa hili linaligawa Taifa?
Huoni kuwa njia bora ya kuunusuru "umoja" wa kitaifa ni kulifuta jina la baba wa Taifa?

Madai ya uislam du!!!!!!!!!! hakika bado tuna safari ndefu sana. Umoja upi wa kitaifa unaondolewa na neno Baba wa Taifa?
 
Baada ya kunukuliwa akisema kuwa kama angekuwa na uwezo wa kuvikokota visiwa vinavyoishi binadamu wanaounda nchi inayoitwa Tanzania ni kuwa tayari Nyerere alishajivua dhamana ya uongozi wa baadhi ya Watanzania.

Dhihaka, kejeli na utusi dhidi ya Watanzania wanaofuata imani ya Kiislamu katika hotuba yake ya mwisho pale aliposema kuwa amefanikiwa kuondoa upogo wa kielimu kati ya Waislamu na Wakristo.

Kuwaweka mbele Wanaijeria Wakristo wa Biafra kuliko Watanzania "waliomchagua" kwa kutumia rasilimali na damu ya Taifa kuhakikisha kuwa Wakristo wa Biafra wanajitenga.

Hivi vyote vinamfanya Nyerere aondolewe jina la Baba wa Taifa.
*Mod tafadhali usiufute huu uzi kwa sababu ni pendekezo hivyo liko wazi kwa mjadala.

Kwa hiyo ww ndo upewe hilo jina la marehemu mkuu? mbona hata ckuelewi hoja yako hasa ni nn hapa. masaburi in use hapa.
 
Baada ya kunukuliwa akisema kuwa kama angekuwa na uwezo wa kuvikokota visiwa vinavyoishi binadamu wanaounda nchi inayoitwa Tanzania ni kuwa tayari Nyerere alishajivua dhamana ya uongozi wa baadhi ya Watanzania.

Dhihaka, kejeli na utusi dhidi ya Watanzania wanaofuata imani ya Kiislamu katika hotuba yake ya mwisho pale aliposema kuwa amefanikiwa kuondoa upogo wa kielimu kati ya Waislamu na Wakristo.

Kuwaweka mbele Wanaijeria Wakristo wa Biafra kuliko Watanzania "waliomchagua" kwa kutumia rasilimali na damu ya Taifa kuhakikisha kuwa Wakristo wa Biafra wanajitenga.

Hivi vyote vinamfanya Nyerere aondolewe jina la Baba wa Taifa.
*Mod tafadhali usiufute huu uzi kwa sababu ni pendekezo hivyo liko wazi kwa mjadala.
Ok tumekuelewa basi kuanzia sasa hivi baba ako ndo baba wa Taifa.
 
Hakuna mjadala kwenye mada ya kipuuzi kama hii!
Hivi hamuoni pertinent matters zinazohitaji attention, hadi muanze umbeaumbea, fitna, udini na chokochoko za kipuuzi?
Kama huna kazi katazame zumari la MAPINDUZI huko kwenu Mwanakwerekwe!

paka jimi hivi tukiwataja walouleta uhuru wa tanganyika kwa kweli nyerere hayupo kabsaaaa nyerere kaja kutoka butiama teari vuguvugu lishaanza na vvyama vishaundwa kama unataka kujua waasis wa taifa hili mtazame kina sykes family jojn rupia(aliemnunulia nyerere suti na kumkatia ticket ya ndege kwenda un) mzee tambaza mama wa kimanyema aloitoa mpaka nyumba yake lumumba na ndio ndani mwake palichimbuka tanu mzee bakadiri na wengne wengi hao ndio ma baba na ma mama wa taifa hili n not nyerere
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom