Wewe unafukira za ki-CCM eti kazi ya Zitto hakuna mtu wa kuifikia-hayo mawazo ni ya kizamani sana, kwa sasa wapo vijana wapya na wanapiga mzigo. Hayo mawazo yako ndiyo yaliyowafanya CCM waendelee kumtegemea kingunge ngombale mwiru katika ushauri matokeo yake ngombale akajikuta yeye ndiye mwizi wa mali ya umma (Ubungo stand). Kwa sasa CCM inamtegemea Wassira ambaye ameendelea kudhurum bei ya pamba kwa wananchi wa kanda ya ziwa!!!!!