vicent tibaijuka
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 268
- 57
Jamani wana JF, naomba kuuliza, pedofil si ni mtu akutanae na mtoto ambaye hajafikisha miaka 18? kama ni hivyo, je sheria hii inafanya kazi Tanzania? kama ndo itakuwaje Kanumba awe maarufu na hta viongozi wajuuwafike katika msiba na wakati tayari yuko katika kundi hili la pedofil. (alikuwa na lulu wakati hajafikisha miaka 18): nielewesheni tafadhari.