Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wadau juzi nilijitoa kimasomaso kwa kumtoa mama watoto wangu out pamoja na ndugu wa karibu kwa ajili ya chakula cha jioni,nikaamua kuingia Peacock Millennium Towers Hotel,kufika kwenye lift nikaambia wamefunga vyumba na ile restaurant zamani ikijulikana kama The Famous Butcher Grill na ile Bar ya juu kwa ajili ya matengenezo nikajaribu kuuliza mbona mmeichukua juzi tu kutoka kwa Makaburu,bila ya kupata majibu ya maana... Wadau kuna mwenye taarifa???