Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 35
Kadhia hii imenichefua kweli. Nadhani JK ana kazi kubwa zaidi ikiwa hili nalo lina mantiki ndani yake. Ninapendekeza iundwe taasisi nyingine inayoitwa LIKUTAKURU ( Lijitu la Kuzuia TAKUKURU Kula Rushwa).