I hope haya madai ni ya kweli. Najua Watanzania tuna longo longo nyingi sana hasa tunapoambiwa tuchape kazi.
Kuna jamaa yangu baada ya kuacha kazi Europe ili akasaidie nyumbani, alikumbana na barua hizo mpaka kidogo afaunge safari kugeuza. Jamaa alikuwa anatolewa magazetini mpaka unajiuliza mara kumi, kweli huyu ndiye jamaa ninayemfahamu?
Inawezekana haya madai ni kweli lakini wahusika inabidi wawe macho sana maana unaweza jikuta barua kama hizi zinatawaliwa na fitina, majungu na watu wasio taka kuwajibika.
Kuna jamaa yangu baada ya kuacha kazi Europe ili akasaidie nyumbani, alikumbana na barua hizo mpaka kidogo afaunge safari kugeuza. Jamaa alikuwa anatolewa magazetini mpaka unajiuliza mara kumi, kweli huyu ndiye jamaa ninayemfahamu?
Inawezekana haya madai ni kweli lakini wahusika inabidi wawe macho sana maana unaweza jikuta barua kama hizi zinatawaliwa na fitina, majungu na watu wasio taka kuwajibika.