PC nzuri ina sifa zipi?

PC nzuri ina sifa zipi?

Hivi mkuu laptop za lenovo thinkpad zina kitu gani cha ziada mbona ghali sana?
hizo ndio best laptop duniani kwa wafanyabiashara, hazina feature za kimauzo ila zina vitu muhimu wafanyabiashara kama
-processor zenye nguvu
-battery zinazokaa sana na charge (hadi masaa 24)
-keypads nzuri zinazobonyezeka kirahisi
-warranty za miaka 3
-ni rahisi kuzi upgrade vitu kama ram, hdd nk
-zinadumu kwa muda mrefu na thinkpad nyingi zinakuwa na layer ya magnesium alloy kulinda vitu vya ndani visiharibike
18s0a1ror1ze9jpg.jpg

-zinakuwa na bios maalum kwa ajili ya wafanyabiashara na zinasuport encryption mbali mbali kama AES inayopatikana kwenye ssd

pia thinkpad ni brand maarufu toka kipindi ipo IBM hadi ilivyokuja kununuliwa na Lenovo
 
pc zipo tofauti sana aina moja tu ya pc inaweza kuwa na aina ndogo ndogo karibia 20 ambazo zinakidhi mahitaji tofauti tofauti hivyo siwezi kukwambia kanunue pc fulani bila kujua unaenda ifanyia nini na una budget kiasi gani.

mfano mzuri angalia dell xps 13 zipo version za core m, i3, i5, i7 na hizo version hapo zipo za broadwell na skylake na zipo za 4gb, 8gb na 16gb na zipo zenye touch na zisizo na touch na zipo zenye resolution full hd na QHD hivyo ukifanya hesabu hapo unapata aina 96 (makisio tu)

laptop moja inaitwa dell xps 13 lakini ina aina tofauti tofauti kibao
Hii PC(Dell xps13) naitafuta sana, let's say i3, bt bei yake sijajua ni kama sh ngp?
 
wifi inayo cheki driver hapa.
Drivers & Software for HP Compaq 6910p Notebook PC - HP Support Center.

kuhusu kueka windows 8/10 inawezekana sababu pc yoyote ya vista inakubali hizo os ila sikushauri sana kueka sababu ya support ya driver itakuwa hakuna utasumbuka.

hivyo kuheat ni kawaida kwa mashine ya core 2 duo hasa kama yako yenye watts 35 hakikisha tu uwe unaieka mazingira mazuri yenye upepo ili isijibane sana
nimekupata mkuu ndio ina wi fi sema kuna app ya host wifi nlidownload ikanambia kwanza niingize .NET halaf hiyo wifi adapter ili iweze hushare internet sasa hapo nkakwama.
 
Hivi mkuu laptop za lenovo thinkpad zina kitu gani cha ziada mbona ghali sana?
Mkuu hio ni brand kubwa sana katika tasnia ya computer na wana legacy katika uundaji wa computer zenye hardware nzuri na imara mno, Hopefully ushawahi sikia waasisi wa mwanzo katika ulimwengu wa pc kuwa ni IBM. Hizo ndio kompyuta zilizokuwa zinatumika katika taasisi kubwa kubwa za kisayansi ulimwenguni miaka mingi from 1880's mpaka leo wanatengeneza mashine kwa ajili ya makampuni ya kibiashara. IBM hakuwa na mpinzani mpaka pale apple walipokuja na MACINTOSH in early 1980's.
Mnamo 2005 IBM ndipo aliachia kijiti kwa kuuza biashara kwa kampuni ya Lenovo kwa makubaliano ya kuendelea kuleta product za kiwango kile kile cha IBM ila wameenda mbele zaidi kwa kutanua soko zaidi na kuongeza innovation na products ambazo mwanzo hazikuwepo kama simu n.k
Kuhusu Thinkpad ilikuwa ni brand iliowakilisha laptop p.c za IBM ila kwa sasa inatumiwa na Lenovo katika msingi ule ule ikiwa ni laptop za lenovo.
 
Mkuu hio ni brand kubwa sana katika tasnia ya computer na wana legacy katika uundaji wa computer, Hopefully ushawahi sikia waasisi wa mwanzo katika ulimwengu wa pc kuwa ni IBM. Hizo ndio kompyuta zilizokuwa zinatumika katika taasisi kubwa kubwa ulimwenguni miaka mingi nyuma mpaka pale apple alipokuja na mac na kuanza kuleta ushindani. Mnamo 2005 IBM aliachia kijiti kwa kuuza biashara kwa kampuni ya Lenovo ambao wameendelea kuleta product za kiwango kile kile cha IBM ila wamejitahidi kutanua soko zaidi na kuongeza product nyingine ambazo mwanzo hazikuwepo kama simu n.k
Aisee nilisoma hiyo kitu kuhusu IBM ndo nikaanza heshimu kampuni ya Lenovo
 
nimekupata mkuu ndio ina wi fi sema kuna app ya host wifi nlidownload ikanambia kwanza niingize .NET halaf hiyo wifi adapter ili iweze hushare internet sasa hapo nkakwama.
I run tena hio app halafu angalia ni. net ipi nikupe link
 
Hii PC(Dell xps13) naitafuta sana, let's say i3, bt bei yake sijajua ni kama sh ngp?
core m ni nzuri lakini kuliko i3, bei yake ya kuanzia ni dola 799 ambayo inakuja kama milioni 1 na laki 7 hivi.
 
Mkuu hio ni brand kubwa sana katika tasnia ya computer na wana legacy katika uundaji wa computer zenye hardware nzuri na imara mno, Hopefully ushawahi sikia waasisi wa mwanzo katika ulimwengu wa pc kuwa ni IBM. Hizo ndio kompyuta zilizokuwa zinatumika katika taasisi kubwa kubwa za kisayansi ulimwenguni miaka mingi from 1880's mpaka leo wanatengeneza mashine kwa ajili ya makampuni ya kibiashara. IBM hakuwa na mpinzani mpaka pale apple walipokuja na MACINTOSH in early 1980's.
Mnamo 2005 IBM ndipo aliachia kijiti kwa kuuza biashara kwa kampuni ya Lenovo kwa makubaliano ya kuendelea kuleta product za kiwango kile kile cha IBM ila wameenda mbele zaidi kwa kutanua soko zaidi na kuongeza innovation na products ambazo mwanzo hazikuwepo kama simu n.k
Kuhusu Thinkpad ilikuwa ni brand iliowakilisha laptop p.c za IBM ila kwa sasa inatumiwa na Lenovo katika msingi ule ule ikiwa ni laptop za lenovo.
naheshimu IBM mkuu nlikua sijui basi ntakua karibu na bidhaa za lenovo. (kama nokia tuu)
 
specs za pc bonyeza start/search halafu andika dxdiag then click hicho kiprogram kitakachotokea utaziona

au nenda my computer halafu right click then properties pia utaziona

ni ngumu kwangu kukutajia sababu laptop moja inakuwa na variety nyingi hadi uangalie mwenyewe
Hizi hapa
upload_2016-6-7_23-59-13.png

Vipi hii mashine kiongozi, inafaa kwa matumizi ya kawaida? pia magemu kama yapi inaweza kuyamudu bila shida?
cc; ymollel
 
Hizi hapa
View attachment 354557
Vipi hii mashine kiongozi, inafaa kwa matumizi ya kawaida? pia magemu kama yapi inaweza kuyamudu bila shida?
cc; ymollel
ndio inafaa na games nyingi zitacheza
-za mpira zote
-games za 2012 kushuka almost zote

games za kisasa za sasa hivi ndio zitazingua ila pia unaweza kuzicheza kama utaeka setting za graphics ndogo
 
Back
Top Bottom