PC na QT Special Thread

Mimi nirisit mwaka juzi, nilikuwa kama ww natafuta ctdt 1,... nilinikiwa tena kwa kujisomea mwnyw tu bila ya kufundishwa na walimu. Siri yng kubwa nilitazama format ya mtihani kwa maana Section.A, B, C na D ni topic gani huulizwa na ina marks ngapi ikisahishwa na nilisoma topic zote kwa umakini(kuelewa) na sikuacha hata nukta na hapo ndipo nilipoanzia na Sasa ni SHUJAA wa kile nichokitaka. Usikate tamaa komaa huu mwaka iwe isiwe KUTOBOA kunakuhusu mkuu.
 
Kiongizi mbona kuna watu husema kuwa eti D inaanza na 35 Kwa PC na na SC yeye ni 30?
Huo ni uongo, niliwahi kumuuliza headmaster wetu akajibu alama za usahishaji ni sawa kwa wote nami nilitoboa fresh tu kupitia reseatets.
 
Hivi kwanini huwa mnakubali kuibiwa hivi, hiyo gharama mchanganuo ni upi?
 
Usiwe mwepesi wa kukata tamaa.
 
Fanyeni discussion sana solve maswali mengi sana kama una wenzako peaneni text kwa zamu mbarikiwe sana mnapoenda kufaulu mitiani yenu
 
Kuwa na ushirikiano na wenzako, unafiki haufai na usisahau kumtanguliza MUNGU mbele ktk masomo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…