Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,424
- 14,195
Yaani Hawa ndugu zetu huwa wanawaza kutoboa maisha yao kwa kudhulumu,kuwalinda illegal dealers traders, drug dealers,yaani hela ya bure jamaa wanaipenda Sana.
Binafsi Kama mwanaume umeumia umepata chako afu msenge anakuja kukichukua k.v naye amehusika kukivujia jasho ni kufa naye.
Hawa jamaa na tra wanaudhi Sana.
Tra walimtoa mzee wangu since 1995 like 2+M mpaka Leo nakumbuka msala ule.
Binafsi Kama mwanaume umeumia umepata chako afu msenge anakuja kukichukua k.v naye amehusika kukivujia jasho ni kufa naye.
Hawa jamaa na tra wanaudhi Sana.
Tra walimtoa mzee wangu since 1995 like 2+M mpaka Leo nakumbuka msala ule.