Paypal Petition

Paypal Petition

Ni kweli kwa sisi watumiaji tuangalia jinsi ya kubadirisha flow of money, lakini unajua tulivyo 'wavivu' wa kukusanya kodi tutatumia nguvu zaidi kuliko hoja na 'wataalamu' wetu wa kodi wanaogopa mrtandao sababu ya security issues which are solvable if only you understand that you are not a know all person. Ni changamoto ambayonatuweka pembeni kwenye digital economy badala ya kuwa ndani. Google Digital economy 2012 uone how chalenging it is at policy level even in OECD countries.
 
Moja ya concern ya mataifa mengi hata hao walioruhusu ni jinsi ya kulipa kodi kwabiashara inayofanyika. Mengi ya makampuni hujisajili kwenye nchi au majimbo yenye kodi ndogo nje ya sehemu kuu wanayofanyia biashara. So how do we address that tax hole?
Concern yetu sisi ni kupata huduma husika. Concern ya Serikali ni usalama na kunufaika na huduma husika (kodi ni moja tu ya mambo mengi serikali itanufaika).

Tukikaa na serikali wamakweka concerns zao mezani na sisi tukaweka za kwetu na tukafanya mjadala chanya nina hakika tutatoka na jibu sahihi. Tutaangalia hao waliopo wanafanyaje na tutachukua mazuri ya huko na kuyaboresha ili kila mtu afaidi mwisho wa siku.

Tatizo kila mtu kajifungia na concerns zake. na mwisho wa siku hakuna anayenufaika!
 
By the way issue sio Paypal only but whole monetary System in Tz as far as Digital electronics is concerned. I have good suggestions and gazillion questions. I hope many more have. Natamani kama ningepata muda na Policy makers kuhusu hizi mambo, ila ndio hivyo tena kuwapata ni issue kidogo!
 
Mkuu sasa petition na group la Whatsapp vinasaidia nini? Nilitegemea ufungue page tuanze kujaza. Nipe elimu kidogo.
 
Mkuu, hapa watatokea watu mbali mbali, wapo wataokuvunja moyo, wapo watakaoku support, pia huwezi organise vikao na wahusika kwa kutangaza humu, hivyo whats app itatumika kama media ya communication tu kwa wale wanaojitolea kulivalia njuga swala hili.
Mkuu sasa petition na group la Whatsapp vinasaidia nini? Nilitegemea ufungue page tuanze kujaza. Nipe elimu kidogo.
 
Umoja ni Nguvu, tukiungana tutawafikia tu.

By the way issue sio Paypal only but whole monetary System in Tz as far as Digital electronics is concerned. I have good suggestions and gazillion questions. I hope many more have. Natamani kama ningepata muda na Policy makers kuhusu hizi mambo, ila ndio hivyo tena kuwapata ni issue kidogo!
 
Mateja M.G Yango,

Hilo jambo ni muhimu sana na mimi binafsi niliwahi kulivalia njuga. Kwa mujibu wa PayPal ambao niliwasiliana nao, tatizo sio moja kwa moja toka kwao bali kuna some administrative issues (may be some regulations or something like that) vile vile zinahitajika kutoka kwetu (serikalini).

Kilicho wazi ni kwamba PayPal hawatuhitaji sana sisi kama tunavyowahitaji wao; kwa maana nyingine sidhani kama kuna economic factors zinazoweza kuwashawishi PayPal kutufuata sisi badala ya sisi kuwafuata wao. Kutokana na ukweli huo, binafsi nilikuwa nasubiria tu hii serikali ya Magufuri ikae sawa ili niliibue hili suala. Nilikusudia kufungua petition vile vile but not directly to PayPal but to the government at least ku-create awareness. Lazima tukubali kwamba haya mambo ni mageni sana kwahiyo hata huko serikalini kwenyewe wengi hawafahamu lolote! Na ndio maana ilikuwa hata ukienda kwenye benki zetu ambako wengi ni vijana na wasomi, lakini bado unakuta wengi hawafahamu.

So, wakati unaendelea na hizo harakati zako, nami soon nina mpango huo huo lakini kwanza nitajaribu ku-create awareness kabla ya ku-file petition. Lakini kwavile issue yenyewe kwa PayPal nilituma query muda mrefu, nitaanza kwa kutuma fresh query ili kutafuta jibu lao kwa sasa ni lipi!
 
chige
Nia hasa ya kuanzisha mada hii hapa ni kupata wadau kama nyie, maana mtu mmoja mmoja ni ngumu sana kuweza kufanikisha hili swala, tulipotoka ni mbali sana, na tunapoenda ni karibu kama tukiungana tukawa kitu kimoja.
Yote hayo kama media awareness, kuonana na wahusika, na kutafuta njia mbadala pale maongezi ya awali yanapo fail ndio jukumu tutalokuwa nalo, hivyo tukiwa wengi ni raisi kugawiana majukumu mbali mbali na wahusika wakiona ni watu wengi wanaohitaji hiyo huduma ni rahisi kuwashawishi.

Pamoja tutaweza.
Mateja M.G Yango,

Hilo jambo ni muhimu sana na mimi binafsi niliwahi kulivalia njuga. Kwa mujibu wa PayPal ambao niliwasiliana nao, tatizo sio moja kwa moja toka kwao bali kuna some administrative issues (may be some regulations or something like that) vile vile zinahitajika kutoka kwetu (serikalini).

Kilicho wazi ni kwamba PayPal hawatuhitaji sana sisi kama tunavyowahitaji wao; kwa maana nyingine sidhani kama kuna economic factors zinazoweza kuwashawishi PayPal kutufuata sisi badala ya sisi kuwafuata wao. Kutokana na ukweli huo, binafsi nilikuwa nasubiria tu hii serikali ya Magufuri ikae sawa ili niliibue hili suala. Nilikusudia kufungua petition vile vile but not directly to PayPal but to the government at least ku-create awareness. Lazima tukubali kwamba haya mambo ni mageni sana kwahiyo hata huko serikalini kwenyewe wengi hawafahamu lolote! Na ndio maana ilikuwa hata ukienda kwenye benki zetu ambako wengi ni vijana na wasomi, lakini bado unakuta wengi hawafahamu.

So, wakati unaendelea na hizo harakati zako, nami soon nina mpango huo huo lakini kwanza nitajaribu ku-create awareness kabla ya ku-file petition. Lakini kwavile issue yenyewe kwa PayPal nilituma query muda mrefu, nitaanza kwa kutuma fresh query ili kutafuta jibu lao kwa sasa ni lipi!
 
Last edited by a moderator:
nami soon nina mpango huo huo lakini kwanza nitajaribu ku-create awareness kabla ya ku-file petition. Lakini kwavile issue yenyewe kwa PayPal nilituma query muda mrefu, nitaanza kwa kutuma fresh query ili kutafuta jibu lao kwa sasa ni lipi!
Ulishawahi kuwasiliana na Paypal wakakupa list ya vikwazo? Approach yako inaonekana more pro.
Unaweza kutushirikisha jinsi ulivyotengeneza wareness previously na uta file petition kwa namna gani?
 
Ulishawahi kuwasiliana na Paypal wakakupa list ya vikwazo? Approach yako inaonekana more pro.
Unaweza kutushirikisha jinsi ulivyotengeneza wareness previously na uta file petition kwa namna gani?
Mkuu Stefano,

Kama alivyosema Mateja M.G Yango hapo juu, tukishirikiana haya yote ni very possible. Niki-settle kidogo (hii post yako nimeiona wakati na-log out) nitatafuta ile PayPal Email ili niiweke hapa tukozeshe mjadala. Kuhusu ku-file petition, nilidhani tukitumia change.org itasaidia sana coz' petition through change.org inapeleka emails moja kwa moja kwa wahusika! So, kama watu 100 wana-sign petition kwa siku, this means wahusika watapata 100 emails for the same requested change per day. So, nishawishika kuamini kwamba hii inaweza kuwazindua wahusika... However, kadri tutakavyoendelea kujadiliana hapa, huenda tukapata namna mzuri ya ku-file hiyo petition
 
Wakuu hii Huduma inatarajiwa kuwepo kabla 2016 haijaisha, uhakika 100%.
 
Hili swala sio la kudeal na paypal, wao their system in already there fully functional, hawatokaa watoke kuja kuzungumza na banks zetu huku ziweze kuruhusu kupokea hela, hilo ni swala inabidi ku-address banks zilizopo nchini kukubali hizi transactions.

Na hiyo petition ya kufanyika whatsapp, whats the point? Hizi whatsapp groups mambo ya kushare contacts watu wengine its not a risk we are willing to take. A phone number is much more than just a number.

ha! ha! ha!
Pretty smart...
It is a global portal has its standard procedures and protocals..


Nimependa umethink aloud mate..
Umenigusa saana mkuu NullPointer
 
Last edited by a moderator:
Hatufanyi cyber activism mkuu, wala hatufanyi maandamano ya aina yoyote, na whats app ni kama njia rahisi ya kuweza wasiliana na kufikishiana taarifa kwa haraka na rahisi zaidi. Kabla ya whats app kulikuwaga na mailing list, ila technology imekuwa na kurahisishwa zaidi.
BOT wanaweza kuwa na sababu za kipindi hicho, na sasa mambo yamebadirika, miaka imeenda, ni muda wa kuongea nao waweze ruhusu paypal transactions kwa watanzania.



Kama unavyotafuta namba za huyo policy officer wa BOT, ndizo mbinu tutazotumia, kutafuta watu wa paypal wenyewe watuambie ni wapi wamekwamisha hili swala, kutafuta mabenki yatayokuwa tayari kujiunga na paypal BOT wakiruhusu na pia Kuongea na uongozi husika BOT/MOF ili waruhusu paypal. Chamuhimu ni kuongeana wadau wakubwa ambao wanaguswa ni hii issue, mpake pale BOT watakapofungua milango ya paypal.
BOT ndio wale wale wazee wasiokuwa tayari kwa mabadiliko, wanahisi kama vijana watarahisishiwa kuishi tofauti na walivyoishi wao.
 
yaani watoto wao wanasoma nje lakini wanashindwa hata kuwaambia wazee kwamba kuna hii kitu.
niliongeaga na ridhiwani kipindi kile sema akasema atajaribu kuongea na mzee
 
Back
Top Bottom