HansMapunda
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 456
- 260
Naunga mkono hoja, binafsi Ni mhanga WA miaka nenda nenda Rudi, kazi zangu nyingi nauza nje, nipo registered kwenye Website flani kubwa Kama Freelancer! Nauza mzigo Na natakiwa nilipwe online kwa njia ya Paypal lakini haiwezekani, nimeshakosa pesa kibao Na kupoteza pesa kibao, nchi nyingine hawaruhusu kutumia Western Union kutuma pesa Africa, kwa sababu ya Frauds!.....lakini group ya Whatsapp unaweza kuwa jibu? Kwa nini kusiwe Na special thread hapa, watu wakawa wanatoa Mawazo Yao, Na wahusika wanaona, then kupitia hapa tunaweza ku- organize watu wachache Na kwenda kumwona ama Waziri wa fedha, BOT ama wabunge wachache wenye ushawishi huu ya hili, haiwezekani tuwe nyuma kwenye kila kitu!
Yap, hiyo iko poa mkuu.