Taasisi ya Urais siku hizi! Mmmh! Kila mtu anajibwatukia tu..
Kwa mfano hata ukijua hizo stubs, wewe zinakusaidia nini? Will it change anything? How?
You always find a weak point to cling on so that you can remain relevant.. The Boss calls it 'stunt'!
We shall see....
I believe he does have some surrogates in here who can relay it to him that folks haven't forgotten about it.
Kwani wewe Nyani Ngabu unalipwa kiasi gani kwa hii kazi unayofanya?
Ni wapi nilipomsifia?alipokuwa anaahidi nanyi mkamsifia ilikuwa kick eeeh!.....
Ndio ujue mtu anapoapa anaweza akawa hamaanishi!
Kwani wewe Nyani Ngabu unalipwa kiasi gani kwa hii kazi unayofanya?
Kama nyani Ngabu ni mtumishi wa umma, unaweza kujua mshahara wake kwa kuangalia scale za serikali. Kama scale ya Mshahara wa Rais ipo tuwekewe hapa ili tusiendelee kuuliza. Hakuna siri kwenye fedha za umma.
anapambana tuishi kama mashetani.
SIRI SIRI SIRI SIRI ..NUCTA