Paving za kituo cha mabasi kibaha kurekebishwa upya, hazina hata miaka 8 ya kutumika

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,434
5,099
Baadhi ya maeno ya paving kwenyw kituo cha mabasi kibaha maili moja yanafanyiwa marekebisho, kituo hizi hakijazidi miaka nane tangu kigunguliwe rasmi.

Kwa mujibu wa website ya kibaha mji, ujenzi uligharimu 3.3 bilions, na kilianza kutumika October 2018. Stendi Kuu Mpya Kibaha Kuanza Kutumika Jumatatu.
Screenshot_20240110-175119_Chrome.jpg


Sasa
1. gharama iliotumika ya ukakasi,
2. Design yake ni mbovu sijawahi ona yani gari ndogo xinazunguuka hadi kero.

Tukirudi kwenye ubora sasa, yani 3.3 billion imeondoka halafu hata miaka nane haijafika tayari imeharibika,
Inamaana hapa inapangwa bajeti nyingine? Je waliokua wanasimamamia wamewajibishwa?

Hii nchi inahela nyingi sana za kuchezea na umakini ni mdogo sana.
 
Stendi kuu ya mabasi ya mikoani
(Magufuli bus terminal)
Pale ndani wakati basi likiingia ardhi inavyotetemeka kila kitu kinacheza, wakati basi likitembea ndani ya stendi ya magufuli namna ardhi inavyotikisika ni kama vile linapita lile trekta lenye chuma zito lakushindilia barabara yaani unahisi mpaka sauti ya mtikisiko wa ardhi, sijaona hali kama hiyo kwenye stendi nyingine yoyote ile.
 
Stendi kuu ya mabasi ya mikoani
(Magufuli bus terminal)
Pale ndani wakati basi likiingia ardhi inavyotetemeka kila kitu kinacheza, wakati basi likitembea ndani ya stendi ya magufuli namna ardhi inavyotikisika ni kama vile linapita lile trekta lenye chuma zito lakushindilia barabara yaani unahisi mpaka sauti ya mtikisiko wa ardhi, sijaona hali kama hiyo kwenye stendi nyingine yoyote ile.
Labda kwavile ni zege
 
Unajua kuwa stend iyo ni gorofa? Kwa chini kuna reserve?
Stendi kuu ya mabasi ya mikoani
(Magufuli bus terminal)
Pale ndani wakati basi likiingia ardhi inavyotetemeka kila kitu kinacheza, wakati basi likitembea ndani ya stendi ya magufuli namna ardhi inavyotikisika ni kama vile linapita lile trekta lenye chuma zito lakushindilia barabara yaani unahisi mpaka sauti ya mtikisiko wa ardhi, sijaona hali kama hiyo kwenye stendi nyingine yoyote ile.
 
Stendi kuu ya mabasi ya mikoani
(Magufuli bus terminal)
Pale ndani wakati basi likiingia ardhi inavyotetemeka kila kitu kinacheza, wakati basi likitembea ndani ya stendi ya magufuli namna ardhi inavyotikisika ni kama vile linapita lile trekta lenye chuma zito lakushindilia barabara yaani unahisi mpaka sauti ya mtikisiko wa ardhi, sijaona hali kama hiyo kwenye stendi nyingine yoyote ile.
Stend ipo juu mkuu chini ni kuna eneo la packing kubwa sana kama lilivyo eneo la stend tunaweza ita stend ya Ghorofa
 
Baadhi ya maeno ya paving kwenyw kituo cha mabasi kibaha maili moja yanafanyiwa marekebisho, kituo hizi hakijazidi miaka nane tangu kigunguliwe rasmi.

Kwa mujibu wa website ya kibaha mji, ujenzi uligharimu 3.3 bilions, na kilianza kutumika October 2018. Stendi Kuu Mpya Kibaha Kuanza Kutumika Jumatatu.
View attachment 2867579

Sasa
1. gharama iliotumika ya ukakasi,
2. Design yake ni mbovu sijawahi ona yani gari ndogo xinazunguuka hadi kero.

Tukirudi kwenye ubora sasa, yani 3.3 billion imeondoka halafu hata miaka nane haijafika tayari imeharibika,
Inamaana hapa inapangwa bajeti nyingine? Je waliokua wanasimamamia wamewajibishwa?

Hii nchi inahela nyingi sana za kuchezea na umakini ni mdogo sana.
China unanyongwa tu, bila kunyongana hadharani pale kwa Mkapa hii nchi tusahau maendeleo. Yaani watu wafungwe kwenye magogo wale shaba live on TV au wale kitanzi live kabisa TBC1, ndio tutanusa harufu ya maendeleo..
 
Unajua kuwa stend iyo ni gorofa? Kwa chini kuna reserve?
Sikufaham hivyo,kwa hiyo nisuala lisiloepukika!? Sasa kwa mtikisiko unaotokea pale inawezekanaje kuepuka nyufa kwenye dari la chini!? Lakini ni suala la kitaalum naamini wamezingatia hiyo hali, asante
 
Back
Top Bottom