JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,306
- 5,452
- Thread starter
- #21
YawezekanaAina ya kesi aliyonayo haina nguvu. Kubenea alipaswa kumshinikiza dpp kumfungulia jinai bashite.
YawezekanaAina ya kesi aliyonayo haina nguvu. Kubenea alipaswa kumshinikiza dpp kumfungulia jinai bashite.
Nani role model wakeDogo jeuri sana huyu! Yaani amerithi kila kitu kutoka role model wake!
Hayati John MagufuliNani role model wake
Hata Sabaya naye time za mwisho alikuwa anakula bata lodge
Ndiyo hivyo
Kila jambo na muda wake..Dogo jeuri sana huyu! Yaani amerithi kila kitu kutoka role model wake!
Anapewa mikoba 🤣🤣
unawashwawashwa sana wewe umemmic nini akutifue mbuzi wahediHayati John Magufuli
Sabaya alienda hadi redioni.Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepost video fupi katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha yupo mbugani akiwa anakula maisha.
Japo hajaeleza kuwa yupo katika mbuga ipi lakini video inaonyesha ni mazingira ya mbugani, na hajaandika chochote kuelezea video hiyo ambayo ameonekana akipata burudani ya muziki.
Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni ilitoa kibali cha kuchapisha gazetini wito wa kumuita Mahakamani Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije.
Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda japokuwa Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi, ambapo Mahakama imesogeza mbele suala hilo hadi Machi 2, 2022.
Kuboresha jela😄😄chid benzi anaakili kubwa yule mastaSiyo ya zamani hizo?
Ila haya maisha, eti sasa hivi Makonda ni wanted mahakamani na mitaani.
Itakuwa kheri yake kama aliufanyia kazi ule ushauri wa Nabii Chid.
Jana tu jamaa alikuwa na demu mmoja hivi mlimani city.. kubenea anatafuta kikiMwenye nguvu akamkamate
Dah! 😎Kuboresha jela😄😄chid benzi anaakili kubwa yule masta
Makonda unayemuzunguzia wewe sio huyu wa sasa, kapiga hela mno kupitia mrija wa Godfather wake.Siyo kila mtu anaye mdiss Makonda, ni maskini wewe! Utuambie kwanza huo utajiri aliupata wapi? Maana miaka michache tu iliyopita alikuwa ni omba omba tu! Kiasi cha kupewa hifadhi na Mzee Samwel Sitta, JK, nk!!
Makonda ni kiburi! Lakini pia ni mjivuni. Hivyo anastahili kabisa kuchukiwa na wale alio wadharau wakati ana yale mamlaka yake ya kupewa.
Anasikiliza kwaito huku anasubiri kongoro ya nyumbu na nyati zichemshwe anywe supuMkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepost video fupi katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha yupo mbugani akiwa anakula maisha.
Japo hajaeleza kuwa yupo katika mbuga ipi lakini video inaonyesha ni mazingira ya mbugani, na hajaandika chochote kuelezea video hiyo ambayo ameonekana akipata burudani ya muziki.
Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni ilitoa kibali cha kuchapisha gazetini wito wa kumuita Mahakamani Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije.
Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda japokuwa Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi, ambapo Mahakama imesogeza mbele suala hilo hadi Machi 2, 2022.
NimekumissDah! 😎
Leo weekend tufanye kumisiana kwa kula champagne 😃😃miss you more hadi nimekondaNimekumiss
Na hivi ulivyomwembamba Ukikonda zaidi si utakufa jamani!!hapana usikonde bhana.Leo weekend tufanye kumisiana kwa kula champagne 😃😃miss you more hadi nimekonda