Paul Makonda yupo mbugani anakula bata

Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepost video fupi katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha yupo mbugani akiwa anakula maisha.

Japo hajaeleza kuwa yupo katika mbuga ipi lakini video inaonyesha ni mazingira ya mbugani, na hajaandika chochote kuelezea video hiyo ambayo ameonekana akipata burudani ya muziki.

Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni ilitoa kibali cha kuchapisha gazetini wito wa kumuita Mahakamani Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije.

Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda japokuwa Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi, ambapo Mahakama imesogeza mbele suala hilo hadi Machi 2, 2022.

Sabaya alienda hadi redioni.
 
Siyo ya zamani hizo?
Ila haya maisha, eti sasa hivi Makonda ni wanted mahakamani na mitaani.
Itakuwa kheri yake kama aliufanyia kazi ule ushauri wa Nabii Chid.
Kuboresha jela😄😄chid benzi anaakili kubwa yule masta
 
Siyo kila mtu anaye mdiss Makonda, ni maskini wewe! Utuambie kwanza huo utajiri aliupata wapi? Maana miaka michache tu iliyopita alikuwa ni omba omba tu! Kiasi cha kupewa hifadhi na Mzee Samwel Sitta, JK, nk!!

Makonda ni kiburi! Lakini pia ni mjivuni. Hivyo anastahili kabisa kuchukiwa na wale alio wadharau wakati ana yale mamlaka yake ya kupewa.
Makonda unayemuzunguzia wewe sio huyu wa sasa, kapiga hela mno kupitia mrija wa Godfather wake.

Kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi wanapopata nyadhifa.
 
Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepost video fupi katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha yupo mbugani akiwa anakula maisha.

Japo hajaeleza kuwa yupo katika mbuga ipi lakini video inaonyesha ni mazingira ya mbugani, na hajaandika chochote kuelezea video hiyo ambayo ameonekana akipata burudani ya muziki.

Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni ilitoa kibali cha kuchapisha gazetini wito wa kumuita Mahakamani Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije.

Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda japokuwa Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi, ambapo Mahakama imesogeza mbele suala hilo hadi Machi 2, 2022.

Anasikiliza kwaito huku anasubiri kongoro ya nyumbu na nyati zichemshwe anywe supu
 
Mahojiano ya Red Carpet

Mtangazaji: Amekuvesha nani?
Chid Benz: Nimejivesha mwenyewe.
 
Back
Top Bottom