Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

Haumo Tena kwenye hili,unajisikiaje.

Hela iliyotumika kukupatia elimu,ilitakiwa baba ako akanunulie Malaya sudani pale Temeke🤭🤭🤭🤭.

Unataka makonda akupigie Debe😂😂😂.
Uonage aibu mtoto wa Kiume,au ulishaleft group si Kwa ujinga huo.Jitafakali.
Fala sana huyu jamaa.
Anaropoka kama kanyweshwa maji ya karo la bafu.
Kichwa cha habari tu ni ufala mtupu.
Au anachukulia watu hawaoni yaendeleayo na hatuna upembuzi yakinifu?
 
In
Fala sana huyu jamaa.
Anaropoka kama kanyweshwa maji ya karo la bafu.
Kichwa cha habari tu ni ufala mtupu.
Au anachukulia watu hawaoni yaendeleayo na hatuna upembuzi yakinifu?
Inafikirisha Sana mkuu,mwanaume wa dizain hii duh!.

Hajifunzi Kwa Mayalla,japo topic za Mayalla zinakuwa nzuri kiasi na zenye maono ila shida yake hajawahi kukemea maovu.Ambapo uchama+uchama unamwondolea maana halisia ya topic halisia.
Uchawa wa kishamba.

Kuimba na kuabudu chamani,ili m/kitu akufikilie🤔.
Aibu tupu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Arusha tayari ile ni state it has own sovereignty aje pole, nawe punguza ukiroboto
 
wale watengeneza pombe kali feki kiama chao kimewadia

akuna janjajanja kwenye biashara awamu hii wallah
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
View attachment 2949860View attachment 2949861View attachment 2949862
Nonsense!...

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mtu hakutakiwa kupelekwa Arusha, na matukio yakianza kutokea Arusha ya kukuta Wapinzani wamepingwa na miili yao imetupwa Migombani basi Samia atakuwa anahusika moja kwa moja, na tutajua ndio maana hataki kumfungulia Jalada huyu pamoja na kulalamikiwa na Tundu Antipas Lissu.
 
Back
Top Bottom