TIDO MHANDO,UKIENDA HUKO UTALAANIKA. HUZUNI,SALA,NA MAOMBI YA WATU WALIZOFANYA MBELE ZA MUNGU WAKATI SERIKALI YA CCM INAKUNYANYASA NA KUTAKA KUKUFUNGA VITAGEUKA LAANA. Heri ya dhiki pamoja na amani kuliko raha isiyo na amani ya nafsi.Tido naye akienda huko aisee tutamshangaa san! figisu zilianzja 2015 kwenye kampeni
TIDO MHANDO,UKIENDA HUKO UTALAANIKA. HUZUNI,SALA,NA MAOMBI YA WATU WALIZOFANYA MBELE ZA MUNGU WAKATI SERIKALI YA CCM INAKUNYANYASA NA KUTAKA KUKUFUNGA VITAGEUKA LAANA. Heri ya dhiki pamoja na amani kuliko raha isiyo na amani ya nafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka wampeleke kwenye TV za ccm.Tido naye akienda huko aisee tutamshangaa san! figisu zilianzja 2015 kwenye kampeni
Haturuhusiwi kuongea wakati wa "KULA".Ryoba ni smart sana ila toka ateuliwe kawa kama zezeta vile..dah
Hahahahahahaaa ISIMANI kwa Dr KLERUUUUU!!!View attachment 1031143View attachment 1031143
TBC kwa dress code mmetisha jaman!huyu ni mtangazaji wa TBC ametupia!unaweza hisi kavaa blouse ya kike😁😁...shati lina urembo kama ametoka Isimani
Haturuhusiwi kuongea wakati wa "KULA".
Hahahahahahaaa ISIMANI kwa Dr KLERUUUUU!!!
Na Mwamwindi.😂😂😂umenikumbusha Dk Kleruu
😂😂😂Na Mwamwindi.
Nashangaa alikua akitabasamu aisee nilikasirika sana, mzee wa watu atulie huko hukoTido naye akienda huko aisee tutamshangaa san! figisu zilianzja 2015 kwenye kampeni
Wasishiriki not washirikiAlianzisha mchakato majimboni,kipindi kichokuwa kinajumuisha wagombea wa vyama tofauti..
Wagombea wa CCM wakawa wameambiwa washiriki...
Tido akaendelea na kipindi hata kama wagombea wa CCM hawapo...
Tido akidhani TBC ni kama BBC...fair ground kumbe ni TBccm...
Yaliyofuata ndiyo hayo yaliyomkuta...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kauli "atamchukua" Tido inabidi awe makini sana - anaweza kutekwa saa yoyote maana huyo ndo Bashite MtekajiTido naye akienda huko aisee tutamshangaa san! figisu zilianzja 2015 kwenye kampeni