Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,611
- 8,098
Bashite is roading....!New member!
Bashite is roading....!New member!
Jibu hoja yake!Nikikuita kijana mjinga na mpuuzi sitakuwa nimekutukana bali kukushtua akili yako kuwa umetumia muda mwingi kuandika mambo ambayo yamekuweka hadharani kuwa hicho kichwa chako ni box tupu.
Hivi huelewi yanayoendelea sasa hivi nchini?
a mlikuwa mnasma kila siku humu na kwingineko katika mijadala kwamba Makonda akitoka madarakani atajuta
Kwani wote mnaotetea chadema humu ni wasemaji wa chama?Kwahiyo Mimi ni msemaji wa Cdm, au una unajichanganya nini dogo. Yeye yuko nje ya ulingo na sasa hivi watu wanamuona khanithi tu.
wani wote mnaotetea chadema humu ni wasemaji wa chama?
Mnamuona khanithi na huku aliwapeleka puta?
Sasa mlikuwa mnajifaragua nini kama mliona hamuwezi kufanya lolote?Hata wakoloni walitupeleka puta, kwani tumewafanya nini hadi sasa?
Wewe unabweka bweka huku umemsikia chief Hangaya?Sasa mlikuwa mnajifaragua nini kama mliona hamuwezi kufanya lolote?




Na yeye aende bungeni sasaMpelekeni mahakamani sasa
Ka paulo aka daudi kenyewe haka! Sio bureMpelekeni mahakamani sasa
Muache ajikaange. Badala ya kutulia asahaulike anapiga kelele, ngoja atajaza watu sasa hivi. Ananikumbusha miaka 10 iliyopita Mabibo Hostel, Block F, kuna mwamba aliingia ghorofani kwa mabinti akaiba huku chini jamaa wanamcheki tu, wakamdaka. Akawaomba jamaa waliomkamata wasipige kelele. Jamaa wakamwambia sisi tupige kelele ya nini, wewe ndio usipige kelele wakati tunakupa mambo. Mwizi alitiwa kibano hadi yeye akajaza watu. Naye huyu muache atajaza watu sasa hiviMwandiko Wa Bashite Kabisa Huu,Bashite Unaitafuta Huruma Ya Mama![]()




Sasa mlikuwa mnajifaragua nini kama mliona hamuwezi kufanya lolote?
Kwani aliwaambia atakaa pale milele?Aliyekuwa anajifanya Mjanja ni yeye, na saa hii yeye ndio ameshuka ngazi. Sisi tuko kama Kawa.
Hangaya yuko fit!Wewe unabweka bweka huku umemsikia chief Hangaya?![]()
Kwani aliwaambia atakaa pale milele?
Subirini mimba mlee wote kwa pamojaHangaya yuko fit!
Anatukomeshea magaidi hadi raha.
Kama unao ushahidi mpeleke mahakamaniKama alikuwa hakai pale milele, kwanini alikuwa anaendesha mauji na kuteka watu kipindi cha yule mtawala dhalimu?
Sasa mbona umepanic manka?Subirini mimba mlee wote kwa pamoja
Ndio nini hiki,UVCCM mmepatwa na ugonjwa unaoitwa CHADEMA.?! Mmekwama.Mama anaupiga mwingi mapaka milangoni mwao sasa wanachungukia kupiatia madilishani.
Sijapanic mamndeny.....wewe ndio hueleweki umesimamia wapi. Si umesema yuko fit? Ngoja sasa watu waanze kumtaka Linjenje waoSasa mbona umepanic manka?
Si uliniuliza habari za Chief Hangaya?
