Mashimba9
Member
- Sep 9, 2023
- 42
- 51
Hakuna kipindi umma utaamka,acha kuota mzee!!!Huyu siyo wa kumpa uhuru wa kufanya anayoyataka, hakawii kurudi kwenye mambo yake ya kuua watu, kuteka na kupora mali za watu. Huyu ni shetani ambaye hakustahili kupewa nafasi hata ya ubalozi wa nyumba 10. Wenye akili wote na wenye hekima wanamshangaa aliyemteua na kumpa nafasi ya uongozi mtu aliyetakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma mbalimbali.
Akiendelea kumkumbatia, anaweza kuondoka naye siku umma ukiamka.
Kisasi cha damu alizozimwaga, tunaomba zikawe juu yake na kizazi chake muovu huyu.
RIP Sanane, RIP Azory. Mungu muweza wa yote uwapunguzie majonzi wanafamilia wa hawa ndugu zetu ambao shetani aliwapoteza.