Paul Kagame: Tanzania's own spy

Paul Kagame: Tanzania's own spy

Koba,

..tangu 1999 hakuna ripoti hata moja ya UN that has been positive about Rwanda.

..majuzi msemaji wa state Dept ya USA ameituhumu Rwanda kuwasaidia waasi wa M23.

..Katibu Mkuu wa UN amekuwa na msimamo kama huo wa US state dept.

..Jumuiya ya SADC nayo imeishutumu Rwanda kwa kuchochea mgogoro wa Congo.

..sasa mjihadhari kabla IMF, WB,na EU, hawajawawekea VIKWAZO vya uchumi.

Hapo kwenye red, ni kwamba hata wasipowekewa vikwazo......wakitia mguu Congo tena....basi tutacheza ndombolo pale Kigali...!

Membe majuzi kawaonya.....wameishia kuweka majeshi Gisenyi na Ruhengeri...!

JWTZ wamedhibitisha kuwa mateka mpaka sasa ni wapiganaji 2602......wakiwemo maafisa wajuu 4 wa jeshi la Rwanda.........!


Source:
Jeshi la Wananchi Tz ‏@JW_TZ Vita imefika Def Con 003, ni ushindi wa 96%, Hii inatokana na kufanikiwa kukamata mateka 2602 ikiwemo maafisa wa juu wa 4 wa Jeshi la Rwanda
 
Tatizo la Kagame ni kutamani vitu vilivyo nje ya mipaka ya nchi yake.

Wakati Tanzania inatumia resources zake tangu uhuru mpaka sasa kuhakikisha nchi jirani zinakuwa salama, Kagame anatumia njia zozote zile kuchafua hali hiyo. Kagame CAN NOT be afriend kama ataendelea kuchafua hali ya amani.

Watu zaidi ya milioni 2 wamehama makazi yao kwa sababu ya kile anachofanya Kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki.

Watoto wanakosa fursa ya elimu, wengine wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kama kuharisha na utapiamlo kwa sababu ya Kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki. Kumfanya Kagame rafiki ni kutukana UTU wetu...

Ni kweli Kagame ana kwiba DRC na kuingiza Rwanda wakati Sisi tuna kwiba vya ndani na kupeleka uswizi kisha tuna leta unga na kuwapa wananchi wawe mazezeta! Hongera PK kwa uzalendo wa nchi yako!
 
[h=3]Ugandan Bush War[/h] Main article: Ugandan Bush War

Kagame served under Yoweri Museveni in the Ugandan Bush War and later in the Ugandan national army


In 1978, Fred Rwigyema returned to western Uganda and reunited with Kagame.[SUP][18][/SUP] During his absence, Rwigyema had joined the rebel army of Yoweri Museveni, which was based in Tanzania and aimed to overthrow the government of Idi Amin.[SUP][18][/SUP] Rwigyema then returned to Tanzania and fought in the 1979 war in which Museveni's army, allied with the Tanzanian army and other Ugandan exiles, defeated Amin.[SUP][19][/SUP] Following Amin's defeat, and inspired by Rwigyema, Kagame and other Rwandan refugees pledged allegiance to Museveni, who was a cabinet member in the transition government.[SUP][20][/SUP] Kagame travelled to Tanzania where the Tanzanian government, which sought to protect the new Ugandan regime, trained him in espionage.[SUP][21][/SUP]
In late 1980 a general election was held in Uganda, which was won by former incumbent Milton Obote. Museveni disputed the result, and he and his followers withdrew from the new government in protest. In 1981, Museveni formed the rebel National Resistance Army (NRA); Kagame and Rwigyema joined as founding soldiers, along with thirty eight Ugandans.[SUP][22][/SUP][SUP][23][/SUP] The army's goal was to overthrow Obote's government, in what became known as the Ugandan Bush War.[SUP][23][/SUP][SUP][24][/SUP] Kagame and Rwigyema joined the NRA primarily to ease conditions for Rwandan refugees persecuted by Obote. However, they also had a long term goal of returning with other Tutsi refugees to Rwanda; military experience would enable them to potentially fight the Hutu-dominated Rwandan army.[SUP][25][/SUP] In the NRA, Kagame specialised in intelligence gathering and he rose to a position close to Museveni.[SUP][26][/SUP] The NRA, based in the Luwero Triangle, fought the Ugandan army for the next five years and continued the war despite Obote's deposition in a 1985 coup d'état and subsequent peace talks.[SUP][27][/SUP] In 1986, the NRA captured Kampala with a force of 14,000 soldiers, including 500 Rwandans, and formed a new government.[SUP][28][/SUP]
After Museveni's inauguration as president, he appointed Kagame and Rwigyema as senior officers in the new Ugandan army; Kagame was the head of military intelligence.[SUP][29][/SUP][SUP][30][/SUP] As well as fulfilling their army duties, Kagame and Rwigyema began building a covert network of Rwandan Tutsi refugees within the army's ranks, intended as the nucleus for a putative attack on Rwanda.[SUP][31][/SUP] In 1989 Rwanda's President Habyarimana and many Ugandans in the army began to criticise Museveni over his appointment of Rwandan refugees to senior positions,[SUP][32][/SUP] which led him to demote Kagame and Rwigyema.[SUP][33][/SUP] They remained de facto senior officers, but the change caused them to accelerate their plans to invade Rwanda.[SUP][34][/SUP] They joined an organisation called the Rwandan Patriotic Front (RPF), a refugee association which had been operating under various names since 1979.[SUP][35][/SUP] Rwigyema became the RPF leader shortly after joining and, while still working for the Ugandan army, he and Kagame finalised their invasion plans.[SUP][36][/SUP]
 
one thing Masters have in common is they don't teach you everything they know, so YES Tanzania Trained Kagame and many others, but one thing i know for sure, Tanzania only gave them a quarter of what they know.....i refer the words of the JWTZ colonel currently serving in Morogoro, She said, yes, SHE said, if JK gives an order, JWTZ will be in Kigali in 168 Hours...
 
That is part of ka- ga- me ironically you can say M3. NOW M3+ M23 + M7= M33 namba isiyo gawanyika

mwendelezo wa KAGAME alikotoka anachofanya unapatikana kwenye mitandao jamani
 
[h=3]Ugandan Bush War[/h] Main article: Ugandan Bush War

Kagame served under Yoweri Museveni in the Ugandan Bush War and later in the Ugandan national army


In 1978, Fred Rwigyema returned to western Uganda and reunited with Kagame.[SUP][18][/SUP] During his absence, Rwigyema had joined the rebel army of Yoweri Museveni, which was based in Tanzania and aimed to overthrow the government of Idi Amin.[SUP][18][/SUP] Rwigyema then returned to Tanzania and fought in the 1979 war in which Museveni's army, allied with the Tanzanian army and other Ugandan exiles, defeated Amin.[SUP][19][/SUP] Following Amin's defeat, and inspired by Rwigyema, Kagame and other Rwandan refugees pledged allegiance to Museveni, who was a cabinet member in the transition government.[SUP][20][/SUP] Kagame travelled to Tanzania where the Tanzanian government, which sought to protect the new Ugandan regime, trained him in espionage.[SUP][21][/SUP]
In late 1980 a general election was held in Uganda, which was won by former incumbent Milton Obote. Museveni disputed the result, and he and his followers withdrew from the new government in protest. In 1981, Museveni formed the rebel National Resistance Army (NRA); Kagame and Rwigyema joined as founding soldiers, along with thirty eight Ugandans.[SUP][22][/SUP][SUP][23][/SUP] The army's goal was to overthrow Obote's government, in what became known as the Ugandan Bush War.[SUP][23][/SUP][SUP][24][/SUP] Kagame and Rwigyema joined the NRA primarily to ease conditions for Rwandan refugees persecuted by Obote. However, they also had a long term goal of returning with other Tutsi refugees to Rwanda; military experience would enable them to potentially fight the Hutu-dominated Rwandan army.[SUP][25][/SUP] In the NRA, Kagame specialised in intelligence gathering and he rose to a position close to Museveni.[SUP][26][/SUP] The NRA, based in the Luwero Triangle, fought the Ugandan army for the next five years and continued the war despite Obote's deposition in a 1985 coup d'état and subsequent peace talks.[SUP][27][/SUP] In 1986, the NRA captured Kampala with a force of 14,000 soldiers, including 500 Rwandans, and formed a new government.[SUP][28][/SUP]
After Museveni's inauguration as president, he appointed Kagame and Rwigyema as senior officers in the new Ugandan army; Kagame was the head of military intelligence.[SUP][29][/SUP][SUP][30][/SUP] As well as fulfilling their army duties, Kagame and Rwigyema began building a covert network of Rwandan Tutsi refugees within the army's ranks, intended as the nucleus for a putative attack on Rwanda.[SUP][31][/SUP] In 1989 Rwanda's President Habyarimana and many Ugandans in the army began to criticise Museveni over his appointment of Rwandan refugees to senior positions,[SUP][32][/SUP] which led him to demote Kagame and Rwigyema.[SUP][33][/SUP] They remained de facto senior officers, but the change caused them to accelerate their plans to invade Rwanda.[SUP][34][/SUP] They joined an organisation called the Rwandan Patriotic Front (RPF), a refugee association which had been operating under various names since 1979.[SUP][35][/SUP] Rwigyema became the RPF leader shortly after joining and, while still working for the Ugandan army, he and Kagame finalised their invasion plans.[SUP][36][/SUP]
 
Hapo kwenye red, ni kwamba hata wasipowekewa vikwazo......wakitia mguu Congo tena....basi tutacheza ndombolo pale Kigali...!

Membe majuzi kawaonya.....wameishia kuweka majeshi Gisenyi na Ruhengeri...!

JWTZ wamedhibitisha kuwa mateka mpaka sasa ni wapiganaji 2602......wakiwemo maafisa wajuu 4 wa jeshi la Rwanda.........!


Source:
Jeshi la Wananchi Tz ‏@JW_TZ Vita imefika Def Con 003, ni ushindi wa 96%, Hii inatokana na kufanikiwa kukamata mateka 2602 ikiwemo maafisa wa juu wa 4 wa Jeshi la Rwanda

..hao jamaa naona kama wako kishabiki zaidi.

..bado kuna makundi mengine ya waasi zaidi ya hao M23 ambayo FIB inatakiwa ipambane nayo.

..kwa msingi huo JWTZ hawatakiwi kuanza kuzungumza habari ya "ushindi wa 96%."

..jambo lingine ni kwamba tunatakiwa tuwe na waandishi wa Tanzania walioko mstari wa mbele DRC.

..kama hilo haliwezekani, basi kunatakiwa kuwepo na press briefings za mara kwa mara kuhusu kinachoendelea DRC.

NB:

..Tuwaache Rwanda kama walivyo, lakini hawa M23 wabamizwe mpaka wasalimu amri.
 
A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish. If we had same belief or ideology, why should we differ now..???

Thanks Moshe!

Kitu kikubwa watu walichokisahau kwenye thread hii ni haya maneno kuntu, kwamba hatuhitaji vita.
Huu "uwezo" wetu wa kimedani kama ulivyoelezwa na wajuvi wetu hapa tunaweza kuulekezea katika namna bora zaidi ya kujenga jamii yetu ambayo kimsingi bado tunayo mengi tu ya kutengeneza muafaka miongoni mwake.
 
Watu wanajua mambo mengi sana. Mnayaficha kichwani tu. Likizuka jambo ndo mwayatoa... kukiwa tulivu ina maana mtakufa nayo.
Naomba lizuke jingine tupakue mengine.
 
Kusema kweli nimejifunza mengi sana na kwa mara ya kwanza nimemjua mchokoza mada, but still confused na yule mchangiaji alie indicate kuwa kuna kiongozi anabadilisha badilisha makazi na halali eneo moja, and they are still on his tail mpaka kieleweke. Je kiongozi huyo ni PK Au JK.
 
Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? If there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course??

It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in Morogoro), Paul Kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. Why is this killing machine malfunctioning now!?

Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele.

Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK. Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating. Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.

A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish. If we had same belief or ideology, why should we differ now..???

Mkuu nakupa big up!
 
Gestart mkuu Pres Kagame has tried very hard to bring people together. It's not like he is only bailing out Tutsis. Remember most of the people in Rwanda are Hutu - I think 85% if not more. Yes, he has placed some Tutsis in key positions due to loyalty but there are also many loyal Hutus in his team. Gen Nyamwasa is Tutsi and was once very close to Pres Kagame but he mutinied (vijana wa siku hizi wanaita "snitch" ha ha ha). Most founder members of the "Green Party" and their followers are Tutsis who oppose Pres Kagame. And trust me, if it weren't for PK's ironhand rule there would be bloodshed in Rwanda now. Wale watu sio wa kuwachekea kwa kuwa chuki yao dates back to 1959 - it's generational. And both sides - Tutsis and Hutus - are equally at fault. Rwanda needs a strong man to lead that country and Kagame is just that.

I agree with you his only problem os he is poking his long nose where it doesn't belong he has become so arrogant to believe he can bully anybody around him/his country
 
Nafuatilia mjadala huu kwa makini yapo ya kujifunza
 
Kweli JF ni zaidi ya habari. Haya ndio mambo yanayotakiwa kujadiliwa kwani wengi wetu tumefumbuliwa mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom