mjomba mbona inasemekana kagame hana bifu Tanzania ! Bali ana bifu na Jk tu .
hapo umesema, ndio maana hajawabugudhi watanzania wanaoishi rwanda.
mjomba mbona inasemekana kagame hana bifu Tanzania ! Bali ana bifu na Jk tu .
kwa mikwara tu wabongo hatujambo, hivi kama majasusi wetu ndio mahodari wa ku-train maraisi wengine na kuwapa mbinu iweje ndani kwetu tunashindwa kutoa viongozi imara au ina maana majasusi wa CCM ni wakali zaidi kwenye kulinda ngome yao.
Hainipi kuona hali ya siasa za ndani na ugawaji wa mali hovyo unaoendelea kutoka kwa viongozi wa waliopo na bado wengine wanataka nafasi za uraisi, halafu eti tuna majasusi waliobobea ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya usalama wa taifa, si wangeangaika na kuwaweka watu wenye huwezo madarakani kuliko serikali ambayo imejaa akina Sofia Simba.
Patriotic my azz,ukiulizwa unataka kupigana kwa sababu gani jibu ni...??mnaonyesha mlivyo malofa tuu bora make kimya na comedy zenu.
Mambo ya kijasusi mbali na mambo ya siasa mbali...
tatizo la kagame ni kutamani vitu vilivyo nje ya mipaka ya nchi yake.
Wakati tanzania inatumia resources zake tangu uhuru mpaka sasa kuhakikisha nchi jirani zinakuwa salama, kagame anatumia njia zozote zile kuchafua hali hiyo. Kagame can not be afriend kama ataendelea kuchafua hali ya amani.
Watu zaidi ya milioni 2 wamehama makazi yao kwa sababu ya kile anachofanya kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki.
Watoto wanakosa fursa ya elimu, wengine wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kama kuharisha na utapiamlo kwa sababu ya kagame. Mtu kama huyo hawezi kuwa rafiki. Kumfanya kagame rafiki ni kutukana utu wetu...
nipo comrade, just doing what I know bestWaoh! Mzee, you are back! Tulimiss sana vitu vyenu na Jason Bourne. Mi nilidhani jamaa zenu wamewaulia mbali ili taarifa za siri zisitoke.
Siyo tu kwamba Rwanda feels unsafe with FDLR and other extremist Hutu, but the current regime in Kigali feels unsafe with everyone who does not speak the same language with it. It includes even the Tusi colleagues who established the regime.
Acha comedy wewe,kagame kakulia Uganda maisha yake yote.
you will always be guessinghii ndio jf huwezi kujua nani ni nani...!!
Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? If there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course??
It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in Morogoro), Paul Kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. Why is this killing machine malfunctioning now!?
Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele.
Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK. Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating. Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.
A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish. If we had same belief or ideology, why should we differ now..???
de'levis atakusaidia kwa hiloDuuh, no comment. Kunawatu wanajua mambo jamani. Nashukuru nchi yangu majasusi wake hawana tamaa na madaraka. Watu wanamjua Kagame aliyekombali, je huyu raisi wetu sindio wanamjua nje ndani. Uzi huu umenifundisha kitu. Thanx Jf, Kweli kabla ya kumpiga Raisi kura 2015 naomba wakuu Moshe dejan na de'levis mje mtuchambulie wagombea jinsi walivyo maana tunaweza kuingia kwenye mkumbo. SALUT
Lete file lake lilopo TISS ndio tutakuamini
Dah kuwa humu ndani ninapata mengi nisiyoyajua asante kwa taarifa
mkuu cjakuelewa hapa