Simiyu Mojo
New Member
- Sep 3, 2013
- 2
- 1
ubaya wa mgogoro huu ni kwamba unasababisha tz itengwe na mataifa mengine ya EAC. it will cause great economical setbacks kwa nchi yetu so kama vipi warekebishe mambo mapema. wenzetu wa kenya uganda na rwanda washaanza kupanga mipango mikubwa ya kiuchumi na kutuisolate sisi. i suggest wakati fukuto linaendelea turudi kule ambako historia inatuvuta zaidi, kusini. tuimarishe ushirikiano wa kiuchumi na zambia, malawi na hata burundi ili huku pakibuma tutokee mlango wa pili. i believe kwa population tuliyonayo sisi tukipata viongozi wanaoweza kusimamia rasilimali zilizopo na ambao wanaweza kusimamia watumishi wa serikali tutapiga hatua sana.