Mkuu mwalimu wako wa kiingereza ana laana, yaani maelezo yanajitosheleza na hadi gharama ya unit imeelezwa bado hujaelewa na unabisha...Chizi anafahamu sana anachokifanya, ameharibu akubali, aondoke akapumzike.Mwakyembe amezungumzia gharama ya uniforms ni $49,900, tena amesama wazi. lakini chizi kwa usanii wake na huyo mwandishi wanazungumzia bei ya uniform ni $18,000. bei na gharama ni vitu viwili tofauti, sasa sitegemei CEO apindishe tafsiri kati ya bei na gharama.
hao precision air walinunua uniform kwa bei kati ya $ 200 na $ 600 kwa kila mmoja. ATCL hata kama wangenunua kwa bai kama ya precision air, gharama ya ATCL kwa uniform zao bado ni juu , kwani wao (ATCL) walituma wafanyakazi wao kwenda kununua na walitumia siku 45 huko, so maisha yao huko yanaingia ktk gharama ya uniform.je precision air nao walituma watu china kwa siku 45?, kama wangefanya hivyo, si precision air ingeshakufa?. chizi ni mtu mzima ameharibu akubali. baadhi ya waandishi wetu nao ni waandishi uchwara, wana ripoti bila kuchunguza na kutafsiri wanacho ripoti
Kama aliyekanusha ana ushahidi basi Mwakyembe shule haijamsaidia au nitaamini kuwa hata ukiwa msomi na intergrity yako ukiingia CCM unakuwa juha .
Hata wewe unatetea upuuzi wa Mwakyembe!!! Kweli nchi yetu ina safari ndefu sana kufikia maendeleo maana asilimia kubwa mnahitaji heater za kuchemsha akili. Chizi ameact professionally, Mwakyembe ame act ki layman, halafu mwakyembe ndio shujaa kwenu. Stupid.Napata shida sana Kutamka Jina na huyu Mkurugenzi aliyefukuzwa, Nashindwa pia kushangaa hata aliye mpa hiyo nafasi ndiyo maana hata haliyoyafanya sishangai sana coz jina lake speeks more Than words......
kwani hizo dola 18,000 ni kidogo? wakati shirika halina hata ndege moja? Tusiwaonee haya wahalifu kama hawa ni hatari kwa nchi yetu
Si ajabu anaitwa chizi....utatumiaje dola 18,000 kushona nguo ambazo zaweza shonwa kwa batiki za hapa hapa na hata Millioni 2 isifike.....
Hata wewe unatetea upuuzi wa Mwakyembe!!! Kweli nchi yetu ina safari ndefu sana kufikia maendeleo maana asilimia kubwa mnahitaji heater za kuchemsha akili. Chizi ameact professionally, Mwakyembe ame act ki layman, halafu mwakyembe ndio shujaa kwenu. Stupid.
Ukisoma kati ya mistali inaonesha walifuata taratibu na sheria za manunuzi hivyo tatizo kubwa linalotutesa ni hiyo sheria ya manunuzi PPRA.Sijasoma yote nitasoma baadaye lakini huu ni wizi na uhuni. Amekansha nini sasa hapo kihusu uniform? Anasema hela zingine zilitumika kununua other materials; yapi? Uhuni tu. Hivi angekuwa mbunifu si angewapa wanamitimdo wetu washone nguo zinazofanana fanana na Tanzania badala ya kukimbilia China. Ati CEO hivyo ana mandate; mandate y wizi?
Aliyekuwa mtendaji mkuu wa ATCL ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakyembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.
Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana Chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajidanganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
Ukisoma kati ya mistali inaonesha walifuata taratibu na sheria za manunuzi hivyo tatizo kubwa linalotutesa ni hiyo sheria ya manunuzi PPRA.
Kuna taarifa za kutosha kabisa kuwa ndege ile ni bomu; ukitaka zaidi wewe google ATCL+Liberia+Airbus. Ingawa ni kweli kuwa deal lile lilianza zamani wakati wa Makatta, huyu mheshimiwa angekuwa ni mtaalamu na mwenye nia njema na shilika, ni wazi kuwa asingesukumiza dili hilo liendelee, angelilipiga stop. Kuna kila dalili za kutia shaka kuwa huenda kabla ya kustaafu kwake, alikuwa ni mmoja waliokoleza dili hilo, na alipopewa mwanya tu basi akalisukumiza kwa nguvu zote lifanikiwa.
Kama ni hivi Chizi anachemka kwa kujitetea kwenye magazeti. Naanza kuwa na wasiwasi naye coz naona waandishi wengi wanakimbilia kumtetea badala ya kusubiria akajitetee pale Kisutu mahakamani..
Precision nasikia ilikuwa around 300Mils Tsh.. Lakini wao wana ndege 11 sasa nyie mnangapi?
Aliyekuwa mtendaji mkuu wa ATCL ameibuka na kusema kwamba Dr Mwakyembe alidanganya umma kutokana taarifa alizopewa kuwa ni za uongo na zisizokuwa na ukweli wowote.
Kwa mfano uniform ziligharimu dola 18,000 tu na sio dola 50,000 kama alivyosema mwakiembe, Bwana Chizi alisema pia tatizo ni kwamba kuna watu hawajui chochote kuhusu sekta ya anga lakini wanajidanganya kuwa wanajua mbele ya umma.
Chanzo: The Guardian on Sunday
Huyu bwana asijitetee amefanya hujuma dhidi ya shirika la ndege. kwanini alituma watu kununua sare ulaya badala ya kutangaza tenda?taratibu za manunuzi za umma zinajulikana ,kwanini alizikiuka? hafu zile nguo zina thamani hiyo kweli? hao aliowatuma aliwalipa fedha shs ngapi?shaka yangu ni kwa watu wanao mtetea,kuna nini nyuma ya pazia wakati madudu aliyo ya fanya yako wazi?watanzania bwana!!!!!