shule zingine bomu kabisa. labda ni english unreachable. kununua nguo zote ndiyo hiyo dola 18000. weye mwenzetu ati wadhani uniform moja dola 18000?
Hapa hatupo kushinda elimu wewe dada na labda kama hujatembelea JF siku kadhaa zilizopita, huwezi kunielewa. Nukuu kidogo kutoka gazeti la tanzania daima la tarehe 8 inaweza kukusaidia pamoja na hiyo elimu ambayo si ya shule za kata kama yangu.
''Waziri huyo aligusia pia hatua ya baadhi ya maafisa kwenda nchini China na kukaa huko takriban siku 45 kwa ajili ya kusimamia sare za wafanyakazi, jambo ambalo alidai ni ufujaji wa fedha za umma kwa kugharamia sare moja dola 49,900.''
Nilimjibu mleta mada nikitumia nukuu hiyo na si vinginevyo.