Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Tulishuhudia pia alipotoja Nyalandu, taharuki ilikuwa kubwa upande wa pili. Mara spika anasema sijapokea barua, mara amefukuzwa ccm bila hata kuitwa wala vikao rasmi, mara ameuza vitalu, mara hakusaini sijui nini! Hii taharuki yote ilikuwa ni ya nini?Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Kwa hiyo mkuu unakiri ni pengo ndio maana majibu yamekua mengi!Tulishuhudia pia alipotoja Nyalandu, taharuki ilikuwa kubwa upande wa pili. Mara spika anasema sijapokea barua, mara amefukuzwa ccm bila hata kuitwa wala vikao rasmi, mara ameuza vitalu, mara hakusaini sijui nini! Hii taharuki yote ilikuwa ni ya nini?
Bavicha na UVCCM zimepitwa na wakati sasa wamegeuka kuwa waganganjaa!!Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
mashinji pia ni msukuma!kwa vile ni msukuma?
Nimezaliwa jana na wote nimewakuta wapo ccm baada ya kuachana na upinzani uchwara!nimetafuta neno la kukusupport nimekosa....only to say....Huijui chadema. ungejua makali ya Dr Warid Kabourou kigoma. Dr Lamwai na Ubunge wake jimbo la Ubungo....bahati mbaya umezaliwa jana hujui.
Watafute watakueleza hasara ya kujipendekeza ccm
Hilo ni hakika wala hujakosea!Bavicha na UVCCM zimepitwa na wakati sasa wamegeuka kuwa waganganjaa!!
Haya ni maneno ya kujifariji kwa mshabiki kwa uongozi hakuna budi kujitathimini vyema!Alianza Dr. Kaborou, akafuata Dr Lamwai, akafuata Zito Kabwe, akafuata Dr Slaa na wengine wadogo wadogo. La ajabu ni kwamba kila akiondoka anayedhaniwa ni muhimu CHADEMA inazidi kuimarika. Katambi ni mtu mdogoooo sanaaa compared to those others. Ameondoka shhudia CHADEMA itakavyoongezeka. Chama ni zaidi ya individual. Hata akiondoka Mbowe na Mtei Chama kitaimarika WHY? KWA SABABU CHAMA NI YA WANACHAMA AMBAO WANAZIDI KUONGEZEKA KILA WAKATI.
Mpaka muda huu tangu itoke ile taarifa ya kushtukiza aliekua Mwenyekiti wa BAVICHA kujiunga na CCM, inaonyesha CHADEMA wamepanic sana kuanzia uongozi taifa mpaka wafuasi wote wameamua kutupa mashambulizi kwa ajili ya kuwafariji wafuasi waaminifu, ambao tangu itoke hii taarifa inaonyesha wametetereka kidogo na kukosa msimamo.
Ni pigo baya pigo la kichogo pigo la kushtukiza lazima uchanganyikiwe habari za juu juu kuna watu wengine walishindwa kufanya lolote mpaka wapate kauli ya Mwenyekiti.
Kitendo cha CHADEMA nzima kuongelea mtu mmoja na kutaka kuonyesha kua si pengo hapa ndipo panapoleta umuhimu na pengo lake hakuna wa kuliziba kwa muda huu.
Fuatilia hapa jamii tu nyuzi ngapi mpaka muda huu homa hofu hofu na mashaka.
CHADEMA jibuni hoja za waliohama msipanic
Angalizo msimuamini hata Mbowe anaweza kuwaacha moyo wa mtu ni msitu
Pigo takatifu mengi yatasemwa ila ukweli ameongea mashinji,kijana amechagulia maisha yake na kea utashi wake!Msaliti na mchumia tumbo KAMWE hawezi kuacha pengo la aina yoyote ile.
Kampeni meneja wa Katambi, mwenyekiti wa BAVICHA Shinyanga Mjini aanika siri za katambi kuhamia CCM
Pigo takatifu mengi yatasemwa ila ukweli ameongea mashinji,kijana amechagulia maisha yake na kea utashi wake!
Mi namjua mlezi wa wala rushwa na mafisadi ni mwenyekiti mbowe katika pepo yao cdm!Kampeni meneja wa Katambi, mwenyekiti wa BAVICHA Shinyanga Mjini aanika siri za katambi kuhamia CCM
Kamuulize mlezi wa rushwa na ufisadi nchini huu uchunguzi uliishia wapi!? Mama Janeth Magufuli aliona mbali sana kuwa huyu janga la Taifa hastahili kutia mguu Ikulu.
Mi namjua mlezi wa wala rushwa na mafisadi ni mwenyekiti mbowe katika pepo yao cdm!
Nchi inayumba kwenye majukwaa ya siasa tu zama ufanye tathimini!Acheni tabia ya kusukumizia majanga ya Taifa Ikulu. Sasa nchi inayumba.
Hata waliofiwa na mpendwa wao bado wanahitaji maneno na nyimbo za kujifariji!yuda yule mtume msaliti aliondoka na bado mitume hawakuyumba ndivyo ilivyo kwa chadema pia