Patrick Aron Nipilima Mfugale mhandisi tajwa nchini Tanzania na alikuwa mtendaji mkuu wa Mamlaka ya barabara nchini Tanzania TANROADS.

Injinia Patrick A. N. Mfugale RIP

=====

Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma.

Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi

Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Tanzania ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.

Tutaendekea kuwapasha kinachoendelea.

Apumzike kwa Aman

Wasifu:
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Consalata Fathers Primary School mjini Iringa
-1975 Alimaliza elimu yake ya shule ya upili katika shule ya upili ya Moshi.
-1977-Mfugale aliajiriwa katika wizara ya ujenzi
-1983 alijipatia shahada yake ya kwanza katika chuo kikuu cha Rocky nchini India
-1991 Mfugale alisajiliwa kama muhandisi mtaalam.
-1992- Aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa barabara za mikoa.
-1994-1995-Alipokea shahada yake ya pili katika chuo kikuu cha Loughborough, nchini Uingereza
-2003-Alipokea tuzo ya Distinguished Engineering Accomplishment.
-Aliteuliwa kuwa muhandisi mkuu wa madaraja nchini Tanzania wakati huohuo na akiwa masomoni nchini Uingereza mwaka 1995 alitafiti na kutengeneza mfumo wa madaraja nchini.
-Alitengeza mfumo wa usimamizi wa madaraja kwa jina Tanzania Bridge Management System
-2014- Alisajiliwa kuwa muhandisi mshauri na kuwa mwanachama wa chama cha wahandisi Tanzania.
-Ametumia muda wake mwingi kama mtaalamu wa madaraja .
Alibuni daraja la Malagarasi lenye mita 178 kwa shilingi za Tanzania milioni 300.
-Baadhi ya madaraja aliyoweza kusimamia yakakamilika kujengwa ni:
  • Daraja la Mkapa Rufiji
  • Daraja la Umoja linalounganisha Tanzania na Mozambique huko Ruvuma.
  • Daraja la Rusumo
  • Daraja la Kikwete huko Malagarasi.
  • Daraja la Nyerere huko Kigamboni
- Mfugale akiwa mtendaji mkuu wa Tanroads amesaidia ujenzi wa madaraja 1400 nchini Tanzania.
Amebuni na kusimamia barabara za kitaifa zenye urefu wa takriban kilomita 36,258.
  • Alikuwa Mwenyekiti wa kikosi cha ujenzi wa Reli ya kisasa SGR inayoendelea kujengwa.
  • Alikuwa mjumbe wa timu ya majadiliano ya miradi mikubwa ya umeme.
-2018 Alituzwa tuzo ya uhandisi ya Engineering Execellency

Picha: Daraja la Kikwete mto Malagarasi Daraja la Kikwete lililopo Mto Malagarasi
Kumbe tumempoteza mtu mhimu sana kwa Tanzania,yaani ana miaka zaidi ya 40 kwenye wizara ya ujenzi..Ameondoka na historia kubwa sana ya ujenzi wa miundombinu ya Taifa.ndiyo maana Magufuli alimiamini sana huyu Jembe
 
Patrick Aron Mfugale hakuwahi kuwa Waziri, Mbunge wala Katibu Mkuu lakini amefanya mambo makubwa na ameacha alama kubwa katika Taifa letu la Tanzania. hakika mwendo kaumaliza, apumzike kwa amani
Na amewaacha mahandisi wa Tanroads urithi wa kujigawia tender na makampuni yao wanayoyataka. Mwamba kweli mwendo ameumaliza.
 
Pamoja na Mambo mengine hebu turudi nyuma kidogo.
Mfugale alizaliwa December 1953
Alipashwa astaafu 2013 December.
Ni kitu gani kimemfanya anganganie madaraka ilhali Tanzania Kuna ma graduate wengi sana wanaoweza kukalia kile kiti?
Kama kulikua hakuna wa kumrithi, inamaana wataleta beberu au mchina pale.
Enyi wahanga mliopo serikalini na mashirika ya Uma , hebu mjiheshimu mustaafu umri ukifika ili mkafaidi hela zenu pamoja na kucheza na wajukuu.
Habari hii iwafikie hata wabunge na mawaziri.
Mtu unafia board room kisa huwezi ku handle stress za dot.com.
Mtu bado unasaka pesa ilhali hata Cha asubuhi unakisikia kwenye kipindi Cha tiGO. Hiyo pesa Ni ya Nini Kama huwezi kutafuna vipaja?
mrangi
Mshana Jr
mama kubwa
Bushmamy
 
Akili za MaCCM azina akili. Bure kabisa nyie legacy ya Mwendawazimu.

Kodi ya Bhakresa nipesa yangu mimi mlaji.
Makodi ya mitandao ya simu ni pesa yangu mimi mtumiaji.
Makodi kandamizi kila uchao ili kulipa madeni ya mikopo ya serikali ya CCM ”DENI la TAIFA” ni kodi yangu.

Teuzi zinazokufanya uwe MAJUNUNI ni kodi yangu ndio mshahara wako.

Upo upo tu kama umekatwa kichwa, Pumbavu kabisa kabisa.
Kwa uandishi huu nimeona ni kwanini MBOWE ni MWENYEKITI
 
Kila nikiiangalia hii barabara iliyojengwa kuanzia Mwenge kwenda Tegeta inayopitia Lugalo Jeshini ilivyoharibika haraka halafu kuna Mhandisi Mmoja aliniambia kuwa upana wake na ujazo wake ulipunguzwa Kinyume na ilivyotakiwa nalazimika tu Kibinadamu kutoa Pole Kwake ila ninaitoa kwa Shingo upande mno.

Kutokea tarehe 17 Machi, 2021 hadi jana tarehe 29 Juni, 2021 Israeli anaupiga mwingi mno kiasi kwamba hata akiomba Mchango wa Kumuongezea 'Morale' aendelee Kuupiga mwingi na kwa sasa ajikite pale Bungeni kisha Wizara ya Viwanda na Biashara halafu amalizie na Jengo jirani na Kanisa la St. Peters Oysterbay tutamtolea tu kwani anajitahidi sana.
Kichwani umejaza MAVI badala ya ubongo. BORA BABAKO ANGEPIGA NYETO TU.
 
Mwili wa aliyekuwa mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), mhandisi Patrick Mfugale umewasili katika viwanja vya hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya kuagwa.

Viongozi mbalimbali wamewasili katikahospitali hiyo akiwemo naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Godfrey Kasekenya, katibu mkuu wa Wizara hiyo, Joseph Malongo, mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri na wabunge mbalimbali.

Pia wapo viongozi mbalimbali wa Tanroads, wawakilishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, viongozi wa dini pamoja ndugu, jamaa na marafiki.

Kwa mujibu wa ratiba mwili wa Mfugale utapelekwa Uwanja wa ndege wa Dodoma saa 10:00 jioni kwa ajili ya kusafirishwa kuelekea jijini Dar es Salaam ambapo utaagwa tena katika ukumbi wa Karimjee kesho.

Mfugale alifariki dunia Jumanne Juni 29, 2021 saa 5 asubuhi katika hospitali ya Benjamin Mkapa.

PIA SOMA:
- TANZIA - Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

Source: Mwananchi
 
Na yy km wanadamu wengine wote,atakumbukwa kwa mazuri meengi na mabaya machache.

Ajipate mahali alipojichagulia,Amen.
 
Ampe salamu Mwenda amwambie wakina naniluu wote wana vaa sindria mdomo
 
Kabla ya kuzikwa aje ajibu kesi kwa mama ,Tanroads kuna ufisadi huko
 
Back
Top Bottom