Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

Kule mwanzo si umeandka kg1 ni 18k....imekuwa tena 20k


Nauliza hvyo kwasabbu wanasema huwa wanauza kwa sado....sio kg sasa sijajua sado =kg au
Bei zinabadilika kulingana upatikanaji wa samaki.

Mimi siuzi kwa sado nauza kwa kg.
 
1000065439.jpg

Unaweza tumia Lipa namba au CRDB na NMB bank
 

Attachments

  • 1000064392.jpg
    1000064392.jpg
    38.5 KB · Views: 8
Sato wa 30000 wa kukaanga wanakuwa wangapi?na wa size gani?
 
Back
Top Bottom