johari Joh
Senior Member
- Apr 16, 2025
- 105
- 87
- Thread starter
- #121
YesHii ni usafiri tu, tofauti na bei ya kununulia?
YesHii ni usafiri tu, tofauti na bei ya kununulia?
Sh. Ngapi?Samaki leo wameshuka bei kwasababu ya kupatikana kwa wingi
Hapo nakuunga mkono, samaki wa baharini hasa jodari na kibua ni habari nyingine kabisaMaisha ni very strange, mimi nipo kanda ya ziwa,lakini nahangaika kupata samaki na sea food. Hakuna kitu natamani kuweka mdomoni mwangu kama Jodari, Kibua, changu, preza, ngisi nk. Hawa Sato na Sangara ni wazuri nakula, lakini samaki wa bahari ni kitu kingine
Jana Sangara walishuka bei lakini leo bei imerudi vilevile.Sh. Ngapi?
digxam.site
Kumbe tunatofautiana me samaki wa baharini ni basi tuu Ila siwakubaliYes samaki wa baharini ana taste tofauti .kachangamka zaidi mdomoni
Wamechangamka zaidiKumbe tunatofautiana me samaki wa baharini ni basi tuu Ila siwakubali
Inategemea mazingira tuliyokulia japo baadhi ya sea foods ni watamu afu hotels na hizi restaurant zilizochangamka ni bei ghali kdgWamechangamka zaidi
Umekariri,utapeli ni utapeli na biashara za mtandaoni ni zitabaki kuwa biashara kama zingine.Biashara ya mtandaoni huwa inaambatana na utapeli