johari Joh
Senior Member
- Apr 16, 2025
- 105
- 87
- Thread starter
- #141
Njoo Airport ulizia kwenye Samaki ulilizia Johari.Ofisi yako hapo Mwanza inapatikana maeneo gani? Nahitaji kuja kuchukua mzigo wa kutosha mimi mwenyewe.
Njoo Airport ulizia kwenye Samaki ulilizia Johari.Ofisi yako hapo Mwanza inapatikana maeneo gani? Nahitaji kuja kuchukua mzigo wa kutosha mimi mwenyewe.
Ndoo ya kg 7 bei yake ni 130,000Dagaa waliokaangwa bei gani na transport mpaka dar
NDoo ya kilo 7 --- sijaelewa hapo mkuuNdoo ya kg 7 bei yake ni 130,000
Unataka dagaa wa kukaanga kiasi gani?NDoo ya kilo 7 --- sijaelewa hapo mkuu
Waliowengi wapo mtandaoni lakini wanapachukulia kama sehemu ya kuzugia.Mbeya kuna watu wengi na wajua tatizo naweza kuwatu wakafuka Mbeya ukagoma kuwachukua ukasema nilijua utani wa mtandaoni.
digxam.site
Hao wa baharini wamenishinda nikila nasikia kashombo flani hivi hawana ladha,, tuko tofauti arooYes samaki wa baharini ana taste tofauti .kachangamka zaidi mdomoni
Nunua hawa wa ziwani.Hao wa baharini wamenishinda nikila nasikia kashombo flani hivi hawana ladha,, tuko tofauti aroo
Bei yako na hapa nilipo ni ile ile siwezi kucheza hiyo kamari sorryNunua hawa wa ziwani.
Labada kama uko visiwani ambako Samaki unaita wanakuja wenyewe.Bei yako na hapa nilipo ni ile ile siwezi kucheza hiyo kamari sorry
4. Umesahau hili: akikutumia hela ana asilimia 100 ya kupigwaKunatofauti kubwa sana bro kuagiza kwangu na kununua hapo dar,
- Samaki wangu ni fresh.
- Nawatumbua na kuwaosha kabla ya kuwatuma.
- Kila kilo moja ya samaki nitakakutumia kuna punguzu la bei ukilinganisha na hapo.
Ukiona mtu anaogopa kupigwa ujue ndio michezo yake.4. Umesahau hili: akikutumia hela ana asilimia 100 ya kupigwa
Yes ukikaa sana pande za samaki wa victoria hawa hawaelewi.mm nashukuru nimebalance!Hao wa baharini wamenishinda nikila nasikia kashombo flani hivi hawana ladha,, tuko tofauti aroo
Nisaidie samaki gani hata kwa sie wa bara naweza kumfurahia maana nasikia jodari sijui nungu mara kibua, basi mwenzio nahisi km majini jini tu😀😀Yes ukikaa sana pande za samaki wa victoria hawa hawaelewi.mm nashukuru nimebalance!