Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

Nisaidie samaki gani hata kwa sie wa bara naweza kumfurahia maana nasikia jodari sijui nungu mara kibua, basi mwenzio nahisi km majini jini tu😀😀
Nimechekaaa😆😆
1.changu
2.tasi
3kibua
4.Jodari (ukimkosea kumuandaa anawasha🥴)
Hao jaribu kukaanga .wazuri very tastey.
Bdw Nakumis!
Eti unahis majini majini 🤣🤣🤣
 
Nimechekaaa😆😆
1.changu
2.tasi
3kibua
4.Jodari (ukimkosea kumuandaa anawasha🥴)
Hao jaribu kukaanga .wazuri very tastey.
Bdw Nakumis!
Eti unahis majini majini 🤣🤣🤣
Sasa jina la jodari au nungu,,,😅😅😅

Asie na shombo kali ni yupi hapo nifanye mambo this week,
Hamu yangu ya kula iko chini hivyo nataka kula vyakula vipya vipya tu siku hizi,

Miss you too swirii,
 
Sasa jina la jodari au nungu,,,😅😅😅

Asie na shombo kali ni yupi hapo nifanye mambo this week,
Hamu yangu ya kula iko chini hivyo nataka kula vyakula vipya vipya tu siku hizi,

Miss you too swirii,
Hamu ya kulaboost wine..anza na tasi
 
Wangapi wanataka Sangara wakavu niwape samaki kwa bei ya offa.
 
1000069878.jpg

Leo tuna ofa ya Dagaa wakavu..
 
Asubuhi nyingine tena,ukitaka Samaki wa ofa,tembelea tovuti ya wauzaji wa Samaki wakiwa sehemu mbalimbali.
 
Kumekucha wapendwa samaki wapi kama unahitaji tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom