Nina mashaka unaweza kuwa ni wewe ndiye uliyenipiga. Alikuwa ni mwanamke na alileta tangazo hivi hivi kama weweUngekua umeagiza hata kilo moja ukaibiwa ndio ungekuja hapa na hizo story.
Nikikuaombia thibisha unaweza au unangea tu kisa una MB kwenye simu yako.
Sio kila mtu anayetangaza biashara mtandaoni ni mwizi,unaoneka upo kimkakati zaidi,tafuta wateja tangaza bishara zako,unapoteza muda mwingi kupotosha watu kwenye thread za watu.
Sasa nisingizie uongo ili iweje, mimi nawaambia ukweli niliibiwa kupitia tangazo kama hili hili ili wachukue tahadhari