Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

VIWANJA 2
viko KIBANDANI(mbele ya airport.Moja linaelekea
ziwan kabisa ambalo hata beach ya ziwa
imo.ukubwa wake ni 70×140. umeme umefika maji
ya bomba bado ila ya ziwa yamejaa mil 95
Cha pil ni 140×100 kiko karibu na mwalo wa
Kibandan bei mil 150.
 
NYUMBA.
iko Nyegezi barabara ya kwenda Majengo Mapya.
iko Karibu na MESSA English medium.
ina maji na Umeme.
ina vyumba vi3 na sebule.
ina master moja.
kuna na msingi wa vyumba vi3.
ukubwa wa kiwanja ni 40x50.
iko karibu na Nyegezi stendi kama km1 tu.
kiwanja chake kinapakana na barabara kuu ya
kutoka Nyegezi stend kwenda Majengo Mapya.
Mpaka sasa nyumba yote imejaa wapangaji
mwenye nyumba yuko kwingine.
bei ni mil.120.
KARIBUNI SANA
 
ndugu yangu unakatisha Tamaa mwqnza viwanja na nyumba hazijawa ghali kiasi hiko hiyo nei waachiwe watu wa dar
 
mkuu nambie ulipo na kiwanja au nyumba na mahali gan kwa bei nafuu hapa mwanza nilete wateja wangu.
mimi bei ninazoambiwa na wamiliki kwa maeneo hayo tajwa ni hizo.
KARIBU SANA
 
mkuu nambie ulipo na kiwanja au nyumba na mahali gan kwa bei nafuu hapa mwanza nilete wateja wangu.
mimi bei ninazoambiwa na wamiliki kwa maeneo hayo tajwa ni hizo.
KARIBU SANA.
 
sasa unaweza pata nyumba na viwanja hata nje kidogo ya jiji la Mwanza hata kando ya ziwa.karibun

Acha kudanganya watu wewe, viwanja vya karibu na ziwani ni hifadhi ya Ziwa huwezi kuuza bhana. Na hata ukimuuzia mtu inabidi awe tayari kwa masharti ya matumizi yake kaka!!!!
 
Acha kudanganya watu wewe, viwanja vya karibu na ziwani ni hifadhi ya Ziwa huwezi kuuza bhana. Na hata ukimuuzia mtu inabidi awe tayari kwa masharti ya matumizi yake kaka!!!!

Ina maana hakuna watu wenye viwanja vinavyokwenda mpaka ziwani rafiki?mbona mimi ninacho!
 
afadhali gtax kuna watu wao ni kupinga tu sijui hotel zenye beach inakuaje.
 
afadhali gtax kuna watu wao ni kupinga tu sijui hotel zenye beach inakuaje. kww maana hyo huyu jamaa anamaanisha hakuna viwanja vinavyopakana na barabara! maajabu.
 
Ina maana hakuna watu wenye viwanja vinavyokwenda mpaka ziwani rafiki?mbona mimi ninacho!

Unacho kiwanja hicho na hati yake kabisa toka kwa watu wa ardhi kaka? au ndio ile una karatasi toka kwa mwenyekiti wako wa kijiji/mtaa? Na tambueni kwamba mimi sipingi kuwa na viwanja hivyo ila nilichosema utakapotaka kujenga hapo ni lazima ujenge kwa masharti maalum ili kuendana na taratibu za utunzaji wa mazingira kaka!!!!
 
ni kwel rweza haitakiwi kufika mpaka ziwan au barabaran wakati wa kujenga lakin bado we ndo unapakana na ziwa au barabara.
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba, Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 
Unacho kiwanja hicho na hati yake kabisa toka kwa watu wa ardhi kaka? au ndio ile una karatasi toka kwa mwenyekiti wako wa kijiji/mtaa? Na tambueni kwamba mimi sipingi kuwa na viwanja hivyo ila nilichosema utakapotaka kujenga hapo ni lazima ujenge kwa masharti maalum ili kuendana na taratibu za utunzaji wa mazingira kaka!!!!

Hv ukipakana na ziwa kuna mtu au serekali itakuja kujenga hapo ufukweni?hiyo ni sheria ya kutobugudhi viumbe vya majini ndo mana huwezi kujenga mpaka kwenye maji,kweni hata wewe ukiwa uwanja unaenda ziwani utajenga mpaka kwenye mchanga wa ziwani au baharini?vitu vingine sivyakujifikilisha tu!
 
SHAMBA.
Liko Bulale Buhongwa karibu na centre ni hekari 2 na nusu.bei milion 25.
KARIBUNI
 
Kama unahitaji nyumba, viwanja, magari, vyumba, frem za maduka, nyumba za stoo n.k. ndani ya jiji la Mwanza wasiliana nasi kwa 0767791405/ 0789998398.

Kwa sasa tuna:
1.Nyumba yenye vyumba vinne 4, master 2, vya kawaida 2, choo ya public, jiko, dinning room, sitting room, jiko na stoo vya nje. Nyumba ya nje yenye chumba na sebule. Uzio km5 toka barabara ya Mwanza- Dar au Buhongwa Mjini. Iko Buhongwa mtaa wa Bulale. Maji yamefika, umeme uko karibu sana.

2.Nyumba Kilimahewa. Ina maji na umeme, vyumba vi2 na trip ya mawe.

3.Kiwanja kiko Buswelu Wilayani na boma ndani yake la vyumba vi4.

4.Kiwanja 45 kwa 50. Kiko Kilimahewa.

5.Gari Toyota MarkII model ya 1995.

MAWASILIANO.

0767791405/0789998398. +255767791405 ipo pia WHATSAPP amabapo ni njia rahis kukutumia PICHA.
KARIBUNI WOTE

kamanda vip hujapata ile maneno bado
 
mkuu njoo pm unikumbushe samahani kwa usumbufu.
 
HIV VINAPATIKANA KWETU WEWE WASILIANA
NASI TU UKIWA MWANZA.
1.Nyumba(kuuza/kununua)
2.viwanja(kuuza au kununua)
3.Raman za nyumba aina zote.
KARIBUNI WOTE
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba,
Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani
ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au
anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda
pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom