Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Nadhani huyu jamaa mwenye hii post ni tapeli. Kwa sababuy gani? ninaye rafiki yangu anaishi kule mwanza alikuwa akitafta nyumba akampigia huyu jamaa hapa. huyu jamaa akamwambia kuwa watapatana sehemu flani ili aweze kwenda kumwonyesha nyumba hizo. alivyonielezea rafiki yangu ni kwamba huyu jamaa alimdanganya akishinda kubadilisha mida ambayo wangepatana hadi wa leo yule jamaa akimpigia simu hachukui. Ni kama ni tapeli ambaye alitaka tu kumwibia yule rafiki yangu hela bila kumwonyesha nyumba yoyote. Ngaruka, hebu tueleze kama nni ukweli ama rafiki yangu kanidanganya!
 
amini ni kwelj nilitaka kumwibia!
muulize eti Ngaruka alitaka kukuibia shilingi ngapi?
 
NYUMBA.
iko NYAMHONGOLO ina vyumba
3(master1+self2),sebule+jiko iko kwenye finishing
ya floor imeshaezekwa maji yamo umeme pia
umefika(ingiwa haujaingizwa kwenye nyumba).
mtindo wa nyumba ni wa kisasa.
kiwwnja ni25×40.
bei mil45tu.
KARIBUNI WOTE
 
Nyumba inauzwa Usagara ina vyumba viwili+jiko
+sebule kubwa.
chumba kimoja ni self. Iko karibu na barabara ya
mtaa umeme umefika.
bei maelewano.
cont. 0767791405/0789998398
 
VIWANJA
viwanja nyamhongolo vya 15x30 kwa
mil.9.vimepimwa.
pia igoma kimoja 60x70 mil14.
kingine kina 40x40 mil.7.
viwanja hv havijapimwa wanatumia upimaji
shirikish ni viwanja vizuri mno.Maji na umeme
yapo.
KARIBUNI SANA.
 
45x25 mil 9. umeme na maji yamefika.
KARIBUNI.
0767791405/0789998398
 
kiwanja kinauzwa kiko Nyasaka ni
25x35.kimepimwa kina hati bei mil.10.
 
Nadhani huyu jamaa mwenye hii post ni tapeli. Kwa sababuy gani? ninaye rafiki yangu anaishi kule mwanza alikuwa akitafta nyumba akampigia huyu jamaa hapa. huyu jamaa akamwambia kuwa watapatana sehemu flani ili aweze kwenda kumwonyesha nyumba hizo. alivyonielezea rafiki yangu ni kwamba huyu jamaa alimdanganya akishinda kubadilisha mida ambayo wangepatana hadi wa leo yule jamaa akimpigia simu hachukui. Ni kama ni tapeli ambaye alitaka tu kumwibia yule rafiki yangu hela bila kumwonyesha nyumba yoyote. Ngaruka, hebu tueleze kama nni ukweli ama rafiki yangu kanidanganya!

Nenda PM hapa sio pakupiga soga, kijana..
Hapa ni kazi zaidi..
Na huyo jamaa yako atatoaje pesa bila kuona Nyumba, au ni mbulula nini?
 
huyu jamaa hayuko vizuri ukiona sentensi zake anasema NLITAKA kumtapeli rafiki yake.wakat huo huo anasema mi ni TAPELI.
Huyu akili zake sijui kama ziko sawasawa.nilimwambia amuulize huyo anayemuita ndgu yake mpaka leo kimya.
 
Eneo linauzwa
liko kona ya Fela(ni makutano ya barabara ya
usagara/kisesa/sumve/kishiri igoma) ni zaidi ya
hekari 4 umeme umefika.
bei mil.70.
KARIBUN WOTE.
 
SHAMBA
liko Igombe karibu na sekondar ni ekari 2 na nusu
(2.5).Bei mil 25.
KARIBUN WOTE
 
Nyumba inauzwa iko Nyamanoro karibu na jeshin.ina vyumba 3 na sebule.
maji na umeme yapo.
Bei mil.25.
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba,
Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani
ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au
anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda
pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 
pata viwanja vyenye hati kwa bei nafuu maeneo ya Kiseke.
 
kiwanja ukubwa wa hekari 2 barabara ya lami ya Usagara-Kisesa.bei ni mil15.
KARIBUNI.
 
Kiwanja Kiseke
45x25 mil 9. umeme na maji yamefika.
KARIBUNI.
0767791405/0789998398
 
kiwanja kinauzwa kiko Nyasaka ni 25x35.kimepimwa
kina hati bei mil.10.
 
Umekosa uhalali. Kama watu wanakupigia simu muonane unawazungusha then we ni tapeli na hauheshimu muda wao. .kwa maana hiyo unatapeli muda wao. Njaa zako hazipaswi kusababisha inconvenience kwa wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom