Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,587
- 1,855
Ml 25 buhongwa??? Duuuu
mm nilisema huyu jamaa anakuza bei tu hapa Mwanza maisha hayajawa expensive kiivo asiharibu jiji
Ml 25 buhongwa??? Duuuu
mm nilisema huyu jamaa anakuza bei tu hapa Mwanza maisha hayajawa expensive kiivo asiharibu jiji
Kiwanja Kiseke
45x25 mil 9. umeme na maji yamefika.
KARIBUNI.
0767791405/0789998398
KIWANJA
kipo Malimbe karibu na chuo cha SAUT.kipo karibu
na mnara wa Masha. kimezungukwa na hostel za
SAUT.
ukubwa hekari 2.
umeme na maji yapo.bei mil70 maelewano yapo.
KARIBUNI SANA