Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

NGARUKA

JF-Expert Member
May 5, 2014
401
70
Kama unahitaji nyumba, viwanja, magari, vyumba, frem za maduka, nyumba za stoo n.k. ndani ya jiji la Mwanza wasiliana nasi kwa

Kwa sasa tuna:
1.Nyumba yenye vyumba vinne 4, master 2, vya kawaida 2, choo ya public, jiko, dinning room, sitting room, jiko na stoo vya nje. Nyumba ya nje yenye chumba na sebule. Uzio km5 toka barabara ya Mwanza- Dar au Buhongwa Mjini. Iko Buhongwa mtaa wa Bulale. Maji yamefika, umeme uko karibu sana.

2.Nyumba Kilimahewa. Ina maji na umeme, vyumba vi2 na trip ya mawe.

3.Kiwanja kiko Buswelu Wilayani na boma ndani yake la vyumba vi4.

4.Kiwanja 45 kwa 50. Kiko Kilimahewa.

5.Gari Toyota MarkII model ya 1995.

MAWASILIANO.
 
nyumba ya Buhongwa mil80 ina kiwanja kikubwa.inaweza tumika kwa kuanzisha gest,hotel hata makazi.
ya kilimehewa mil45.
ya buswelu wilayan mil30.
kiwanja nyasaka mil 9.
gar mil3.5
KARIBUN
 
kwa viwanja,nyumba,vyumba,frem za maduka n.k kwa bei mbalimbali ndan ya jiji la MWANZA.wasiliana nas MOS.
KARIBUN WOTE
 
Nyumba,viwanja,vyumba vya kupnga na maduka vipo bado.Mwanza yetu.
 
ni karbu na barabara.alafu inategemea na aina ya nyumba inayouzwa.
 
nyumba, kiwanja.
nyumba mil150.
kiwanja mil30.
vyote vipo karibu na Nyegez stend
 
nyumba, kiwanja.
nyumba mil150.
kiwanja mil30.
vyote vipo karibu na Nyegez stend

nitafutie nyumba ya kupanga vyumba viwili vya kulala sebule na jiko iwe nyegez stendi au buhongwa iwe mita 200 kutoka barabara kubwa( mwanza-dar) isizidi 1.5m
 
kaka yako napita.
kuna nyumba mbili nyegez zimepatikana.
moja vyumba vi3 chumba na sebule×2 na master moja.
na choo cha nje.
bajet mil3.

nyingine vyumba3 na sebule choo cha nje mil1.8.
zote ziko Nyegez karibu na Jesh.
KARIBU
 
kaka yako napita.
kuna nyumba mbili nyegez zimepatikana.
moja vyumba vi3 chumba na sebule×2 na master
moja.
na choo cha nje.
bajet mil3.
nyingine vyumba3 na sebule choo cha nje mil1.8.
zote ziko Nyegez karibu na Jesh.
KARIBU
 
Nyumba inauzwa Nyakato National.
ina vyumba 4 vya ndan master 1 na vya kawaida v3.dinning room na sitting room.
ina vyumba vi3 vya nje na bafu na choo cha nje.
iko karibu na s/m gedeli pia karibu na barabara ya Buswelu-mjin. ina HATI,UMEME na MAJI
bei yake ni 200mil. maelewano yapo.nashindwa kuapload picture.ukiwa interested nitumie sms namba yangu ya wahatsapp ni +255767791405.
MAWASILIANO. 0767791405/0789998398.
KARIBUNI WOTE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom