Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Viwanja Kiseke
45x25 mil 9.
38x30 mil 6 umeme na maji yamefika.
KARIBUNI.
0767791405/0789998398
 
sasa unaweza pata nyumba na viwanja hata nje kidogo ya jiji la Mwanza hata kando ya ziwa.karibun
 
kwa wale pia wanaohitaji maeneo makubwa kwa ajili ya viwanda au shule yapo.
 
kws wanaohitaji viwanja maeneo ya Igombe au Kayenze jijin Mwanza tuwasiliane
 
prakatumba viwanja vipo aina zote vilivyopimwa na ambavyo havijapimwa ila viko na hati za makubaliano.
igombe ni umbali wa dk 45 nauli 700/= kayenze ni umbali wa lisaa limoja.kote ni rough road ambapo ukiwekwa mkeka muda unapungua.
 
KIWANJA
kipo Malimbe karibu na chuo cha SAUT.kipo karibu na mnara wa Masha. kimezungukwa na hostel za SAUT.
ukubwa hekari 2.
umeme na maji yapo.bei mil70 maelewano yapo.
KARIBUNI SANA
 
KIWANJA
kipo Malimbe karibu na chuo cha SAUT.kipo karibu na mnara wa Masha. kimezungukwa na hostel za SAUT.
ukubwa hekari 2.
umeme na maji yapo.bei mil70 maelewano yapo.
KARIBUNI SANA

Mkuu eneo hilo nalijua kama mtu ana uwezo ni kujenga hostel na kuwapangisha Wanafunzi.na kufanya investment zingine hapo!
Vp ukubwa wa eneo mbona hujataja mkuu
 
Ukubwa ni hekali mbili ndugu mrangi.
KARIBU SANA
 
Nyumba.
iko kirumba mtaa wa mbugan ina vyumba 12 vikiwamo 3 vya nje (vinatumika kama fremu za maduka).
6 vya wapangaji. vi3 vya ndan.ni kubwa sana.
bei mil 190 maelewano yapo.
KARIBUNI
 
nyumba ambayo ina vyumba 4 iko kitangiri.maji na umeme yapo.bei maelewano
 
Ukubwa ni hekali mbili ndugu mrangi.
KARIBU SANA

Dah hapo basi panafaa kujenga hostels, sehemu ya kula etc eka mbili kubwa sana
Madenti wa saut wote unawakamata hapo...
 
gari aina ya Toyota Canter linauzwa mwanza bei maelewano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom